Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Au warudie jina lao la TanganyikaTuliaaaaa tuli mlipoamua kujivisha koti la muungano na kusahau nchi yenu ya Tanganyika mlitegemea nini? hizi ni sherehe za muungano , Zanzibar kama sehemu ya Muungano wanayo haki kupata pesa hizo, kama hutaki tafuteni jina lingine lakini sio lenye neno muungano