Zanzibar inachangia nini kwenye Serikali ya Muungano? Isije ikawa wanatumia Kodi za Bara

Tuliaaaaa tuli mlipoamua kujivisha koti la muungano na kusahau nchi yenu ya Tanganyika mlitegemea nini? hizi ni sherehe za muungano , Zanzibar kama sehemu ya Muungano wanayo haki kupata pesa hizo, kama hutaki tafuteni jina lingine lakini sio lenye neno muungano
Au warudie jina lao la Tanganyika
 
Mkuu Zanzibar inachangia Jina maana hebu piga picha tu Tungeendelea kuitwa "Tanganyika" jina lenyewe linahuzunisha kabisa.
Dah mawazo mengine, inachangia jina? kwani tungeitwa Tanganyika tungepungukiwa na nini.
 
Mkuu wewe ndiyo utakuwa hujaelewa. Tulia usome tena.

Kuna sehemu 3:

1. Zanzibar
2. Tanganyika
3. Tanzania

Katika Tanzania kuna Zanzibar na Tanganyika.

Zanzibar yupo hai ila Tanganyika ni marehemu kabisa.

Zanzibar anaweza omba hata msaada. Tanganyika - hola!

Zanzibar anapata gawio tokea Tanzania. Tanganyika - hola!

Zanzibar anaweza kufurukuta. Tanganyika - hola!

Tanganyika is a loser in everything!

Au nasema uongo ndugu zangu?
1. Kwani aliyeua tanganyika ni nani?
2. Kwani aliyeunganisha nani?
3. Kwani aliyetaka Zanzibar iendelee na mamlaka yake nani?
4. Kwani aliyekuwa kiongozi kipindi hicho nan?
Ndio maana wanasema tanganyika imevaa koti la muungano kwa maana ukiongelea Tanzania unaigusa moja kwa bara, kwasababu Tanganyika haionekani lakini Zanzibar bado inaonekana.
Rasimu ya katiba (Mzee Warioba) iliyowekwa kapuni ilikuja na mchakato wote wa kuwa na serikali 3. Lakini kwa nini ilitupwa?
 
Zanziba kimsingi inapaswa iwe mkoa moja au miwili. Kiuchumi haina tija ila kisiasa. Ukiangalia ni wazanzibari wangapi wanaishi bara utakuta ni hasara tu. Hawana tofauti na magabacholi wengine. Nyerere alipenda sana kuunganisha Afrika akashindwa na kuunganisha nchi yake na kiraka cha matatizo. Hata hivyo, ukiwaacha waondoke kwenye muungano ima watarejea kwenye utumwa wa waarabu au watamalizana kwa kuchinjana baina ya wazanzibara na wazanzirabu aka wapemba.
Mtoto akililia wembe mpe hakuna haja ya kupiga ramli
 
1. Kwani aliyeua tanganyika ni nani?
2. Kwani aliyeunganisha nani?
3. Kwani aliyetaka Zanzibar iendelee na mamlaka yake nani?
4. Kwani aliyekuwa kiongozi kipindi hicho nan?
Ndio maana wanasema tanganyika imevaa koti la muungano kwa maana ukiongelea Tanzania unaigusa moja kwa bara, kwasababu Tanganyika haionekani lakini Zanzibar bado inaonekana.
Rasimu ya katiba (Mzee Warioba) iliyowekwa kapuni ilikuja na mchakato wote wa kuwa na serikali 3. Lakini kwa nini ilitupwa?

Aliyeitupa ni yule anayedai kuwa katiba si kipaumbele chake.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kumbuka sisi ni Tanganyika wala si Tanzania. Katika Tanzania, na Zanzibar wamo.

Sasa kama msaada waja kwanza Tanzania halafu tena sehemu yaenda Zanzibar, huoni kuwa Zanzibar wao wanapata mara mbili hali sisi hamna kabisa.

Kinachokwenda Tanganyika kipo wapi?

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni lazima upite kwene serikali ya muungano haya mambo akina nyerere walikuwa very technical...ila kiuhalisia sisi upande wa bara tunawanyonya zaidi wale wavisiwani
 
Ni lazima upite kwene serikali ya muungano haya mambo akina nyerere walikuwa very technical...ila kiuhalisia sisi upande wa bara tunawanyonya zaidi wale wavisiwani

Hayo ni maoni yako mkuu. Wengine sisi tunaona bara tunanyonywa sana mkuu kwenye huu utaratibu wa Muungano.
 
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.
Wakimaliza kutawala wote wanabaki bara, no one goes back! Muungno no waste of resources.ilikuwa uroho wa madaraka
 
Wazanzibar wamebakia kwenye huu muungano kwa sababu wao ndio wanufahikaji wakuu

Leo hii muungano ukivunjika, Zanzibar hawana cha kupoteza

Wana kila kitu ila Tanganyika hatuna cha kujivunia tutaanza mwanzo kabisa kama nchi inayozaliwa upya

Tanganyika haina
-jeshi
-serikali
-mahakama
-wimbo wa taifa
-bunge
-bendera ya taifa
Zanzibar hayo mambo yote wanayo huku Tanganyika ikibaki IPO chini ya muungano

Wabara tutabaki chini ya hiki kivuli cha hili jina la TANZANIA hata kama muungano huu utafika tamati kama ilivyokuwa tangu muungano huu umeasisiwa

Hatutarudi nyuma kwenye majonzi tena ya kufanya tulichoshindwa kufanya huko nyuma
 
Zanzibar wanapoomba msaada kutoka nje ya nchi lazima msaada ule upite tanganyika kwanza uvhukuliwe nusu na robo thn znz ndio wanapata kilichobaki, TRA kukusanya mapato ikiwemo sector ya utalii znz

Sent from my SHARK MBU-H0 using JamiiForums mobile app
acha upotoshaji hakuna pato lolote linalokusanywa zanzibar halafu likaja kutumika tanganyika ...zanzibar wanakusanya mapato yao na kuyatumia wao tu

wazanzibar hawako tayari kitu chao kikawa cha muungano hata kimoja refer upatikanaji wa mafuta kwao

kusema na ukweli hili la mapato ya bara kugawanywa kwenda zanzibar limeshangaza wengi na geni kabisa halafu basi ingekuwa hata ktk mlinganyo unaolekea na uhalisia yaani zanzibar inakula 50 nzima kweli hii imekaa sawa !!!

kuna mikoa mingapi bara jamani!!! je kila mkoa ukidai pato lake lirejeshwe kwa ajili ya matumizi yake watakuwa wanakosea?!!!

yaani zanzibar anakula pato la arusha,mwanza,mbeya,kigoma n.k pato ambalo hakulichangia chochote kile !???...je hiyo mikoa ina mahitaji mangapi imejinyima ili kuchangia pato la taifa leo pato lao linagawanywa kwa mtu ambaye hana uhalali nalo !!!

hii haiko sawa hata kidogo uhalali wa zanzibar kugawiwa ungekuwepo kama anachangia 50 ya pato la muungano hata mgawanyo wake ungepaswa kuwa 50 /50 basi hata mgawanyo utakuwa 50 - 50 siyo achangie 2 then aje apewe 50 basi kila mkoa uombe mgao wake uliosawa kama ulivyochangia

hii tabia ya kubebana kwa nguvu za jasho la wengine iishie hili tu lisjirudie tena eti kwa kigezo cha koti la muungano ni bora ungepewa mkoa wowote asilimia 50 ya pato lote la taifa maana watakuwa na uhalali kwa sababu wanachangia hilo pato
 
Labda hujaelewa, msaada wowote wanaoomba Zanzibar, hauendi Zanzibar moja kwa moja kama walivyoomba ni lazima upitie kwenye Jamhuri ndipo Zanzibar wapatiwe kistahiki kulingana na mgawanyo! Sasa kwanini iwe hivyo? Kwanini isiwe msaada wanaoomba Zanzibar usiende Zanzibar kwa walengwa moja kwa moja.
Mambo ya Muungano yalikuwa 11, hadi sasa yamefika 24.
unapotosha sana... ukweli ni kwamba zanzibar wataomba jambo lao wanalolitaka kupitia tanzania na linaporudi zanzibar si kweli kuwa tanganyika italimega kwanza then ndio liende kwa wazanzibar la hasha isipokuwa jina tu la zanzibar au tanganyika ndio yenye shida kimataifa lakini kila mmoja ataomba jambo lake kwa jina la tanzania na alichokiomba atakitumia yeye mwenyewe na si wote

kuna mwingine pia ametia chumvi kwamba mapato ya utalii zanzibar yanakusanywa na tra tanganyika na kuingizwa kwenye mapato ya bara si kweli hata kidogo
zanzibar wanakusanya kila kitu wao na kukitumia wao wenyewe kama nchi hii ni kutaka kuhalalisha hiki walichokifanya cha kugawanya mapato 50/50
 
Watu tunataka Elimu mchango ambao Zanzibar inatoa kwenye Serikali ya Muungano. Naona kama Tunaumia sana sisi wa Bara. Kuubeba Muungano.

Mfano nataka kuoa. Nimeandaa Harusi baadaye nikaamua kutofanya sherehe. Je zile pesa nagawa pia kwa bibi harusi? Ndicho ambacho alichofanya Samia. Yaani pesa hizi ambazo zimeandaliwa na Watanzania Bara kwa Sherehe isiyo na tija kaamua zigawanywe sawa kwa sawa.

Hili suala tuanze likemea mapema. Kodi za Wabara zitumike kwa Wabara. Na Wazanzibar zitumike kwao kwa maendeleo ya nchi yao.

Tabia ya kupendelea eneo moja analotoka Rais ikomeshwe isiendelee.tuliona miradi mingine ilivyokuwa ikipelekwa sehemu ambazo hiyo miradi haikuwa na tija.

Lakini suala langu kubwa ni kupeana Elimu kuwa kuna pesa gani ambazo Bara inapata toka Zanzibar? Au zinaingia kwenye Muungano toka Zanzibar?

But pia hizi pesa anazotaka zipelekwe Zanzibar pia. Zilitokea au patikana wapi? Kodi za Wabara zisitumike vibaya. Watu kwa sasa kwa woga au Unafiki wanashindwa kuhoji hili jambo.

Ila wajue mwanzo wa ngoma ni lelele.... Tusikubali mambo ya hovyo kuendelea. Na mchakato wa Katiba urudishwe ili haya mahusiano yawe yame balance. Zanzibar wasionewe hali kadhalika Bara pia wasionewe. Hawa wabara ndo hata Serikali yao hawana.nivema
Ni vema aseme kila upande urejeshewe kiasi cha fedha ulichochangia 🎃patamu hapooo 🎒
 
acha upotoshaji hakuna pato lolote linalokusanywa zanzibar halafu likaja kutumika tanganyika ...zanzibar wanakusanya mapato yao na kuyatumia wao tu

wazanzibar hawako tayari kitu chao kikawa cha muungano hata kimoja refer upatikanaji wa mafuta kwao

kusema na ukweli hili la mapato ya bara kugawanywa kwenda zanzibar limeshangaza wengi na geni kabisa halafu basi ingekuwa hata ktk mlinganyo unaolekea na uhalisia yaani zanzibar inakula 50 nzima kweli hii imekaa sawa !!!

kuna mikoa mingapi bara jamani!!! je kila mkoa ukidai pato lake lirejeshwe kwa ajili ya matumizi yake watakuwa wanakosea?!!!

yaani zanzibar anakula pato la arusha,mwanza,mbeya,kigoma n.k pato ambalo hakulichangia chochote kile !???...je hiyo mikoa ina mahitaji mangapi imejinyima ili kuchangia pato la taifa leo pato lao linagawanywa kwa mtu ambaye hana uhalali nalo !!!

hii haiko sawa hata kidogo uhalali wa zanzibar kugawiwa ungekuwepo kama anachangia 50 ya pato la muungano hata mgawanyo wake ungepaswa kuwa 50 /50 basi hata mgawanyo utakuwa 50 - 50 siyo achangie 2 then aje apewe 50 basi kila mkoa uombe mgao wake uliosawa kama ulivyochangia

hii tabia ya kubebana kwa nguvu za jasho la wengine iishie hili tu lisjirudie tena eti kwa kigezo cha koti la muungano ni bora ungepewa mkoa wowote asilimia 50 ya pato lote la taifa maana watakuwa na uhalali kwa sababu wanachangia hilo pato
Kama hakuna TRA zanzibar inayokusanya kodi kwa ajili ya Tanganyika basi yale majengo yenu yaliyo na mabango TANZANI REVENUE AUTHORITY yaondoeni., yapo kila kona zanzibar unguja na pemba kote kila mahali mpaka bandarini na kila sehemu.
 
Tulimwona Mtikila ni kichaa wakati akiipambania Tanganyika.
Kwa kweli tunaumizwa sisi tuliopoteza nchi yetu.
Hii ni ndoa ngumu na ya upande mmoja.
Sawa na kijana ameoa amebeba jukumu la kutunza ukweni na familia yake ilhali wakwe hawana mchango kwa familia.
Muungano unaendeshwa na Tanzania huku ukihudumia Zanzibar wenye makusanyo yao na hawachangii lolote.
Muungano huu hauna faida kwa watanganyika. Unawafaidisha wazanzibari tu.

Anayebisha anyooshe mkono juu, au hata afanye kama anajikuna. Halafu alete faida moja tu ambayo mtanganyika anaipata.
 
Back
Top Bottom