Huyu jamaa itakua ni mgeni kwenye udalali, ndiomaana bei anataja tu tofauti na wenzie insta, gari Kule zinapostiwa kwa bei ndogo, ye huku anataja tu yoyote anayojisikia 😂😂
Wewe ndio mmiliki au dalali? Kama dalali kuna mtu mwingine katikati au simu moja kwa mmiliki? Nakuuliza hivo kwasababu nimeona imepostiwa insta kwa bei tofauti.
Wewe ndio mmiliki au dalali? Kama dalali kuna mtu mwingine katikati au simu moja kwa mmiliki? Nakuuliza hivo kwasababu nimeona imepostiwa insta kwa bei tofauti.
Huu ni mtizamo wako binafsi, usifosi kila mmoja auchukie wimbo, hii ngoma mi binafsi nimeisikiliza Mara nyingi mno, so baki na msimamo wako, but usifosi wote tuione ngoma ni mbaya, kwangu Mimi hii ni ngoma Kali na itafanya vizuri
Preference zako haziwezi ku judge ukali wa ngoma, hii ni ngoma Kali subiri baada ya wiki moja utaelewa, Tabasamu ilivyopiga Mara ya kwanza watu wali ikataa, ili tunaojua mziki tulijua ni suala la muda, that is origins and pure bongo flavor
Hata Mimi hii imenishinda, siwezi kuacha kuishi nnavyotaka kisa mjinga mwingine na shida zake ananiongelea negative, wabongo wana inferiority complex kiasili tuu hii ni kutokana na exposure ndogo, kipato duni, wivu na chuki, na hawapendi kujifunza kwa mtu aliyewazidi. Sisi wa Africa maisha yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.