Chai. Hii wazee. Eneo la kimboka lishakufa. Sahvi kuna bar inaitwa kalembo. Na haina wateja kabisa. Na eneo hilo limekua eneo safi sana maana barabara imepita mbele. Madada poa hawazidi kumi. Na wengi wao hutumia guest inaitwa agivea iko kwa ndani. Ambayo ni ya mdogo wake marehemu kimboka...
Ushaferi hadi hapo.
Mimi kiukweli kitu pekee ni kuonyesha thamanj au wazungu wanasema value proposition.
Tafuta maumivu yao, social proof. Tumia elevator pitch. Yaani mambo kama matano hivi employ kwenye hitaji lako, utapata unachotaka. Kiufupi kuwa chawa, sifia, onyesha unaweza, sifia, onyesha...
Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha:
Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na...
Badluck. Baba yangu alihisi vitu vyote hivo. Ila hiyo ni gas, acid.
Na ni dalili moja kwa moja za shida ya moyo. Alipima ma ecg.
Hakuna kitu. Akapotezea. Mwaka baadae 2024 ghafla akiwa njiani anaendesha gari akazidiwa, akapelekwa hospitali. Zoezi. Likahamia shida ikawa moyo. With no direct...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.