Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha:
Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na...
Badluck. Baba yangu alihisi vitu vyote hivo. Ila hiyo ni gas, acid.
Na ni dalili moja kwa moja za shida ya moyo. Alipima ma ecg.
Hakuna kitu. Akapotezea. Mwaka baadae 2024 ghafla akiwa njiani anaendesha gari akazidiwa, akapelekwa hospitali. Zoezi. Likahamia shida ikawa moyo. With no direct...
Kesi hii hukumu imetoka jumanne jamaa kala maisha . Na wenzake wanne ambao pesa zilipita mikononi mwao wameachiwa huru.
Kesi ni huyu dogo aliingia kwenye hiyo nyumba kama mpenzi sio fundi. Akamla binti yaani kufanya mapenzi.
Na kiasi cha hela ni milioni sita. Binti alitaka wagawane sawa kwa...
Vyombi vya habari na mitandao ya kijamii inamfahamu kama mkurugenzi wa RHG company, kampuni inayohusika na Clearing and fowarding na ni mawakala wa forodha.
Hili jina leo nimekumbuka ile kesi ya askari waliohusika na unyang'anyi wa milioni 90 za huyu mama grace matage.
Kesi ya mwaka 2023...
Pegeaaa yesooo makofeee makobwaaa. Kwa sisi tunaotaka kuzamia uingereza na hadi sasa tunasomaga huu uzi na walioenda hawatupi muongozo tuingiaje.
Nb swala la masomo, mlitoe maana nigumu sana lina makaratasi mengi, tupeni njia nzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.