Recent content by Chance ndoto

  1. Chance ndoto

    ukinunua gari kataa kabisa ofa ya kujaziwa mafuta mengi, jaza lita chache kuona ulaji wake wa mafuta

    Ila kuna watu mnachekesha. Kwahiyo ukijaziwa mafuta mengi huoni yanavyoisha.😂😂😂😂 Lala mzee usiku huu
  2. Chance ndoto

    Kwanini Tanzania ndiyo nchi rahisi zaidi duniani kwa mgeni kuishi kienyeji bila vibali na asichukuliwe hatua yoyote?

    Nimefuatilia sana mienendo ya nchi yetu na nikagundua jambo la kusikitisha: Tanzania imekuwa kama 'shamba la bibi'. Yaani ni nchi pekee ambayo mgeni anaweza kuingia kama mtalii, akapanga nyumba, akafungua kijibiashara au kuanza kazi za 'consultancy', na akaishi miaka mitano bila kuguswa na...
  3. Chance ndoto

    Nawezaje kumwachisha mtoto kunyonya kidole?

    Anakua mzembe saaaaana. Labda kama una sababu
  4. Chance ndoto

    Kama biashara yako ipo kwenye hii list halafu huna website, unawapoteza wateja kila siku!

    Faida ya website ni ipi kuacha reputation na kuonekana. Kuna faida zingine zozote.
  5. Chance ndoto

    Yule mama mchungaji maarufu aliyekuwa akishauri kuhusu ndoa, hatimaye ndoa imemshinda

    Wale walizaliwa tarehe moja mwaka mmoja, Wametengana.
  6. Chance ndoto

    Kifuani nahisi kama kuna kitu nimeenda hosptal wakaniambia ni gas tu

    Badluck. Baba yangu alihisi vitu vyote hivo. Ila hiyo ni gas, acid. Na ni dalili moja kwa moja za shida ya moyo. Alipima ma ecg. Hakuna kitu. Akapotezea. Mwaka baadae 2024 ghafla akiwa njiani anaendesha gari akazidiwa, akapelekwa hospitali. Zoezi. Likahamia shida ikawa moyo. With no direct...
  7. Chance ndoto

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    N Nawakumbusha mkiweza pita na elfu kumi piteni hapa. Jamaa ana upepo.
  8. Chance ndoto

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu porto na pacha wake watatupa kweli magoli mawili leo?
  9. Chance ndoto

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona kadi zikagoma Mimi madrid akanipa na ndugu yake benfica akapata goli dakika za mwisho. Acha nikale supu sasa.
  10. Chance ndoto

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kashinda. Acha tumpe hela madrid ashinde either half. Na benfica. Tununue supu asubuhi na mtori chapati
  11. Chance ndoto

    Amuua binti wa kazi kisha kuvunja chumba na kuiba pesa

    Kesi hii hukumu imetoka jumanne jamaa kala maisha . Na wenzake wanne ambao pesa zilipita mikononi mwao wameachiwa huru. Kesi ni huyu dogo aliingia kwenye hiyo nyumba kama mpenzi sio fundi. Akamla binti yaani kufanya mapenzi. Na kiasi cha hela ni milioni sita. Binti alitaka wagawane sawa kwa...
  12. Chance ndoto

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naona joanna show show kama kawaida aisee. Enhee na huyu guguo.
  13. Chance ndoto

    Ni nani huyu Grace Matage?

    Vyombi vya habari na mitandao ya kijamii inamfahamu kama mkurugenzi wa RHG company, kampuni inayohusika na Clearing and fowarding na ni mawakala wa forodha. Hili jina leo nimekumbuka ile kesi ya askari waliohusika na unyang'anyi wa milioni 90 za huyu mama grace matage. Kesi ya mwaka 2023...
  14. Chance ndoto

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Pegeaaa yesooo makofeee makobwaaa. Kwa sisi tunaotaka kuzamia uingereza na hadi sasa tunasomaga huu uzi na walioenda hawatupi muongozo tuingiaje. Nb swala la masomo, mlitoe maana nigumu sana lina makaratasi mengi, tupeni njia nzuri.
Back
Top Bottom