Me cna haja kubishana wala kukuelewesha wache mtu amuue lile analiona liko sawa nina ushuhuda wa hao graduate watu waliwashawish km ww unavyosema mwisho wa cku wakafeli brother kilimo pia kazi au sawa na biashara nyingine.
Lazima uwashangae wakizunguka na bahasha kwa kuwa c upo ofisin ndo mbn...
Me nazani sawa kuondolewa kwan tukisema tuogope kisa wana mafunzo inakuwa si sawa mbona kila mwaka kuna watu wakujitolea ambao awakufaniwa kupata ajira wanalud mtaan. Serikali ina mkono mrefu inaweza kupambana nao ata km wakiamua kuenda kinyume na sheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.