Recent content by Chamso

  1. C

    Nilikosea kuolewa na huyu, nimekutana na perfect choice kazini

    Mwambie mumeo now huna mapenzi naye tena, kisha andaa mahali yake mrudishie, kisha nenda kwa huyo jamaa ukawe huru, kuliko kumfanyia mumeo hivyo, hivi unajua kuwa amelipia hyo kitu!?
  2. C

    Bunge limegubikwa na wasemaji wasiojua tofauti ya speak and talk

    Msikilize tena Bashe utamuelewa,
  3. C

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Moyo Tulia Mjini kuna vya Watu
  4. C

    Tanga stone

    Tanga stone zinapatikana kwa anayehitaji, mzigo unaletewa popote ulipo, Kwa maelezo zaidi piga 0738548159
  5. C

    Naomba mumshauri kwa upole huyu kijana

    Mpe akugonge, ukishampa atapotezea, mimi niliwahi kuwa na msichana kwenye mazingira kama hayo alinisumbua miaka 7, ila baada ya kumgonga nikaona kawaida mpaka leo kila m2 na maisha yake Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

    Hivi imewezekanaje mpaka leo bado ana ngozi kwenye mwili wake? je kuna picha za hao wengine ?
  7. C

    Nini kinamliza mwanamke kitandani?

    Kumbe ndiyo hivyo! kwel , mnatuweza! na zile kiss baada ya mwanamke kushusha mzigo! nazo ni maigizo tu?
  8. C

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Tumia muda wako kuisoma Quran ipo iliyotafasiriwa katika lugha tofauti, kisha ndiyo urudi tena kuendelea na hiyo mada coz hujui chochote kuhusu uislam, na kama uliwahi kusoma basi ungetumia ushahidi wowote kutuonesha kwamba hicho unachokisema ni kweli. Ila nakushauri chukua muda wako na usome...
  9. C

    Mjadala: Basi kubwa na pikipiki vikitembea vyote kwa 120km/hr nani atatangulia?

    Basi itawahi kufika, hii ni kutokana na tairi ya Basi kuwa kubwa ukilinganisha na ya pikipiki, hivyo mzunguko wa tairi ya basi unachukua umbali mkubwa ukilinganisha na wa pikipiki.
Back
Top Bottom