Mwambie mumeo now huna mapenzi naye tena, kisha andaa mahali yake mrudishie, kisha nenda kwa huyo jamaa ukawe huru, kuliko kumfanyia mumeo hivyo, hivi unajua kuwa amelipia hyo kitu!?
Mpe akugonge, ukishampa atapotezea, mimi niliwahi kuwa na msichana kwenye mazingira kama hayo alinisumbua miaka 7, ila baada ya kumgonga nikaona kawaida mpaka leo kila m2 na maisha yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia muda wako kuisoma Quran ipo iliyotafasiriwa katika lugha tofauti, kisha ndiyo urudi tena kuendelea na hiyo mada coz hujui chochote kuhusu uislam, na kama uliwahi kusoma basi ungetumia ushahidi wowote kutuonesha kwamba hicho unachokisema ni kweli. Ila nakushauri chukua muda wako na usome...
Basi itawahi kufika, hii ni kutokana na tairi ya Basi kuwa kubwa ukilinganisha na ya pikipiki, hivyo mzunguko wa tairi ya basi unachukua umbali mkubwa ukilinganisha na wa pikipiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.