Hilo eneo la mtanana-kibaigwa ni hatari mno hususani kipindi cha mvua nyingi kama za mwaka huu... Mwaka juzi almanusura tufie hapo,changamoto kubwa ya hapo maji husambaa eneo kubwa na hutiririka kwa kasi kwenda upande wa pili wa barabara.
Mbaya zaidi barabara inakaribia level moja na mashamba...
Mtupumzishe sasa walimu....tumechokaaaaaaaa,kwani Twiga ipo wapi hivi unadhani kwa hali ya sasa ya kiuchumi na mdodororo huu fiche haka kabank ketu kamajaribio kanaweza fua dafu mbele ya mabeberu ya ndani.....??mm ni mwalimu japo sipo huko kwa sasa bt sipendi namna walimu wanachukuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.