Recent content by chamkononi

  1. chamkononi

    Watanzania tumpe zawadi gani Jesca Magufuli?

    Andika kwa kiswahili tukuelewe... Hizi papatupapatu zinatumalizia nguvu ya macho.
  2. chamkononi

    China yanyonga Wapenzi walioua watoto ili Wasiwasumbue

    . M Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  3. chamkononi

    B.O.T fedha za sarafu ziko kwenye ma kamali ya wachina

    ...... . Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  4. chamkononi

    Mafuriko yakatisha mawasiliano Barabara ya Morogoro – Dodoma, Waziri Bashungwa atoa maelekezo kwa TANROADS

    Hilo eneo la mtanana-kibaigwa ni hatari mno hususani kipindi cha mvua nyingi kama za mwaka huu... Mwaka juzi almanusura tufie hapo,changamoto kubwa ya hapo maji husambaa eneo kubwa na hutiririka kwa kasi kwenda upande wa pili wa barabara. Mbaya zaidi barabara inakaribia level moja na mashamba...
  5. chamkononi

    Regression: Rushwa ilivyonitajirisha, stress na depression zinanitesa mniombee

    Mungu akupe wepesi kwa uamuzi wako wa kiungwana... Ukianza kugawa manoti usisite kunijulisha, nayahitaji sana hayo manoti!! 🤎
  6. chamkononi

    DOKEZO Shule ya Kibaigwa Girls imekataa kumpokea Mtoto wangu sababu sijamaliza Hela za Michango

    Amuone Diwani mheshimiwa Chande anaweza msaidia. Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
  7. chamkononi

    Biashara ya Maboga

    Weka bei mkubwa....mzigo unapatikana
  8. chamkononi

    Mpwayungu huenda yuko sahihi, Walimu Wana Nini?

    Mtupumzishe sasa walimu....tumechokaaaaaaaa,kwani Twiga ipo wapi hivi unadhani kwa hali ya sasa ya kiuchumi na mdodororo huu fiche haka kabank ketu kamajaribio kanaweza fua dafu mbele ya mabeberu ya ndani.....??mm ni mwalimu japo sipo huko kwa sasa bt sipendi namna walimu wanachukuliwa...
  9. chamkononi

    Mawaziri hawa wanafanya nini cha ziada mpaka kuaminiwa na Rais?

    Nicheki nikupe Siri ya "personality booster"
  10. chamkononi

    Kipi ulifanya na haujutii hadi leo?

    Daaah...umenikumbusha kitambo kidogo,niliiba gunia zima nikatizame mazishi ya nyerere .
  11. chamkononi

    Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

    Kwangu hii ni nyuzi bora ya mwaka....achana na mambo yale ya jukwaa letu pendwa la kimasikhara!!
Back
Top Bottom