NAONA JIJI LA DAR ES SALAAM LINAANZA KUBADILIKA KWA KWELI, KUNA MIRADI MIWILI AMBAYO NIMEIONA NIKAONA NIJE NISHARE NANYI WANA JAMII....KUMBUKA HII MIRADI SIYO IKO KWENYE UPEMBUZI BALI IKO ON TRACK! NADHANI IKIKAMILIKA ITALETA MUONEKANO TOFAUTI! KWANI NI MIRADI ILIYO MAKINI NA INAVUTIA, GONGA...
mkuu watu wanashangaza kweli! Suala la panya road wanaleta siasa! Kwa hili mimi naunga mkono wakae huko huko hata mwaka! Hawa wanachezea maisha ya watu, wanachukua mali za watu kama zao, na wanafanya uhalifu mchana kweupe......halafu anatokea mtu anahalalisha uhalifu wao eti kwa sababu ya...
Mkuu nitupie bei inbox......hilo suala mimi ni muathirika flat na home theatre vimeondoka, nilifanikiwa kutengeneza h/t lkn tv inahitaji laki saba kwa spare yake nilinunua mwanzo ikaungua tena sasa hivi naiangalia kama pambo
hapo umenigusa mkuu, mfano kipindi navuka kuja mjini majira ya saa nne asubuh leo nilimsikia yule dada wa matangazo anatangaza kama kuna mtu amesahau begi lake alifuate atalikuta ! Nikajiuliza sana kiusalama inakuwaje hapo? Kama mtu kaweka bomu si atakuwa amefanikiwa? Kiusalama pale ni sifuri...
Hivi ingekuwa wanasiasa wanaandamana angesema jambo dogo! Anapenda sana kuonekana kwenye luninga! Kama mchapa kazi kweli sasa hivi angekuwa eneo la tukio na siyo kuuza sura! Haiwezekani wahuni wa mtaa watawale wakati kuna vyombo vya dola! ​huyu kova ameshindwa kazi!
huyu ameacha kazi yake ya upolisi amekuwa mwanasiasa! baada ya kudeal na hao washenzi yeye anazunguka kwenye vituo vya televisheni kuuza sura! AMESHINDWA KAZI HUYO KWANI UKIONA MTU ANAONGEA SANA UJUWE AMESHINDWA KAZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.