Hujuma Pantoni za Kigamboni

Hujuma Pantoni za Kigamboni

Suluhisho ni dogo tu!! Ferry ya kuvuka inahitaji kubinafsisha sector hiyo !! Waje wawekezaji kadri ya kukidhi haja ya wasafiri...
yaani wasafiri 1000 kwa pantoni 5 hadi 10 zichuana hapo !! na kila idadi ikiongezeka pantoni ziongezwe !! Ndo tutaendelea, Kwani mteja (msafiri) ni mfalme, Na ni haki yake kusave time yake " time is money "
The Fixer Barasu KATIBUA The Boss

Mkuu hili wazo wakulu hawawezi kukubali labda UKAWA wakiingia magogoni.Pale kuna tiketi fake balaa!Kwa vile majitu yenyewe ya kigamboni ni mazwazwa acha waendelee kupigwa tu siku wakizama pale ndio wata pata akili ya kuandamana hadi mlangoni kwa mkulu ikizingatia pale si umbali mrefu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hili wazo wakulu hawawezi kukubali labda UKAWA wakiingia magogoni.Pale kuna tiketi fake balaa!Kwa vile majitu yenyewe ya kigamboni ni mazwazwa acha waendelee kupigwa tu siku wakizama pale ndio wata pata akili ya kuandamana hadi mlangoni kwa mkulu ikizingatia pale si umbali mrefu.

Kifupi na ukweli kuwa waTanzania tumepandikizwa virusi iitwayo "hofu" !! Sasa nani wa kumvisha kimburu kengelee???
 
Injini Inatumika Moja,inaenda Kama Mdudu Kaa,linazunguka Kama Linaenda Kurasini Linarudi Kama Linawapeleka Zanzibar Kwa Sh,200 Linawarudisha Tena Kurasini Ndo Baadae Linaenda Kuweka Nanga Upande Upande

hahahaha..... Zanzibar kwa 200 teh teh teh
 
Injini Inatumika Moja,inaenda Kama Mdudu Kaa,linazunguka Kama Linaenda Kurasini Linarudi Kama Linawapeleka Zanzibar Kwa Sh,200 Linawarudisha Tena Kurasini Ndo Baadae Linaenda Kuweka Nanga Upande Upande

Hahahaha unanikumbusha wale vijana walioiteka ndege nakudai wapelekwe ulaya,
 
Hivi usalama mle upoje? life jacket na maboya yanakidhi idadi?

Samahani! ule mpango wa daraja umeishia wapi?

usalama ni sifuri kwa sababu;
1. maboya ya kujiokpa hayalingani na idadi ya abiria (abiria ni wengi zaidi)
2. huwa hakuna elimu au maelekezo ya jinsi ya kutumia hayo maboya.
3. sina uhakika hama mfumo wa kuzima moto unafanya kazi, ukiangalia kwnye 'fire hose cabinets' ndani yake hamna kitu. (hose hazipo)
4. Hakuna maelekezo kwa abiria kuwa anapoingia kwenye chombo nini ufanye na nini usifanye, sanasana watawahimiza watu kupanda juu wakidai kuwa kuna nafasi ya kukaa atu elfu mbili. Maelekezo ni muhimu kwakuwa wengine huwa ndio wanavuka kwa mara ya kwanza ( ni wageni)
5. wakati mwingine kwenye gati panakuwa na utelezi lakini wahusika hawawatahadharishi abiria mapema na hivyo abiria huanguka wakati wa kuingia au kutoka. mtu akianguka ndio utasikia wanatangaza "msipite pembeni kuna utelezi".
6. Upande wa Kigamboni eneo la kivuko limepakana na baa moja ambayo wakati mwingine hupiga mziki kwa saiti kubwa sana hivyo kusababisha waliopo ndani ya magari ambayo yameshaingia kwenye eneo la kivuko kupata kero, pia ukizingatia magari mengine huwa yamebeba wagonjwa.
7. Ukiangalia mpangilio wa magari kwenye pantoni kubwa yale magari yanayopaki korido ya kulia au kushoto yanabanana kiasi kwamba dereva hawezi kufungua mlango akatoka, je ikitokea dharura hapo inakuwaje? nimejiuliza sijapata jibu,

daraja linaendelea polepole.
 
Hata mimi sijaelewa?
yaani ni zaidi ya dk 50 mzunguko mmoja kutoka kigamboni kuja magogoni na kurudi
mm mwezi Novemba 20/2014 nilivuka hapo usiku kumpeleka ndugu yangu Mjimwema likuwa ni zaidi ya masaa ma3 dk 180 yaani saa 6 usiku nafika hapo nikapanda haikuondoka hadi saa 7 tulipofika Kigamboni nilienda hadi Mji mwema na kurudi bado ilikuwepo ikaondoka saa 8:50 nafika Sinza ni saa 10 usiku
Mwakyembe saidia hapo
 
Wadau,
Ipo haja ya Mamlaka husika kuingilia kati swala la kivuko hapa kigamboni, Round trip la hili pantoni kubwa siku hizi dakika 50 badala ya dakika 25.

Pantoni linatembea na injini 2 badala ya 4. Mafuta yanauzwa tu juu kwa juu, Mkuu Mwakyembe najua unapitia hapa na kama utakuwa hujaona lakini najua Vijana wako watakuletea hizi taarifa.

Wizi wa mafuta kwenye hizi pantoni zimezidi

Sijaelewa dukuduku lako hasa ni lipi? Kutembea dakika 50 au kuiba mafuta? inamaanisha wakiwasha engine zote nne na kutembea dakika 25 ndio mafuta hayaibwi? Watanzania tuache kuongea ongea bila ushahidi,ulijaribu kuwauliza kwanini inatembea engine mbili? Report ya uwekaji mafuta na utumiaji wa mafuta ulionyeshwa na ukajiridhisha kwamba mafuta yanaibiwa?
 
Hivi usalama mle upoje? life jacket na maboya yanakidhi idadi?

Samahani! ule mpango wa daraja umeishia wapi?

usalama ni sifuri kwa sababu;
1. maboya ya kujiokpa hayalingani na idadi ya abiria (abiria ni wengi zaidi)
2. huwa hakuna elimu au maelekezo ya jinsi ya kutumia hayo maboya.
3. sina uhakika hama mfumo wa kuzima moto unafanya kazi, ukiangalia kwnye 'fire hose cabinets' ndani yake hamna kitu. (hose hazipo)
4. Hakuna maelekezo kwa abiria kuwa anapoingia kwenye chombo nini ufanye na nini usifanye, sanasana watawahimiza watu kupanda juu wakidai kuwa kuna nafasi ya kukaa atu elfu mbili. Maelekezo ni muhimu kwakuwa wengine huwa ndio wanavuka kwa mara ya kwanza ( ni wageni)
5. wakati mwingine kwenye gati panakuwa na utelezi lakini wahusika hawawatahadharishi abiria mapema na hivyo abiria huanguka wakati wa kuingia au kutoka. mtu akianguka ndio utasikia wanatangaza "msipite pembeni kuna utelezi".
6. Upande wa Kigamboni eneo la kivuko limepakana na baa moja ambayo wakati mwingine hupiga mziki kwa saiti kubwa sana hivyo kusababisha waliopo ndani ya magari ambayo yameshaingia kwenye eneo la kivuko kupata kero, pia ukizingatia magari mengine huwa yamebeba wagonjwa.
7. Ukiangalia mpangilio wa magari kwenye pantoni kubwa yale magari yanayopaki korido ya kulia au kushoto yanabanana kiasi kwamba dereva hawezi kufungua mlango akatoka, je ikitokea dharura hapo inakuwaje? nimejiuliza sijapata jibu,

daraja linaendelea polepole.
 
Mimi ni mkazi wa kigamboni kwa kweli kwa sasa hali ni mbaya, mv magogoni kwenda upande mmoja hadi wa pili ni dak 40-50,injini moja badala ya 4,

Wizi wa mafuta humo humo,

Kuishi KG kwa sasa ni mateso
 
Siku hizi Pantoon ni tatizo na waandishi wa habari wakienda pale wanakamatwa na kutiwa ndani, mfano siku ya mwaka mpya, mwandishi aliwekwa chini ulinzi alipotaka kujuwa kwa nini kuna foleni kubwa na hakuna jitihada za kupunguza foleni, na wanajuwa kuwa ni cku ya mwaka mpya.
 
Siku hizi Pantoon ni tatizo na waandishi wa habari wakienda pale wanakamatwa na kutiwa ndani, mfano siku ya mwaka mpya, mwandishi aliwekwa chini ulinzi alipotaka kujuwa kwa nini kuna foleni kubwa na hakuna jitihada za kupunguza foleni, na wanajuwa kuwa ni cku ya mwaka mpya.

Na pamewekwa alama za kuwa hairuhusiwi kupiga picha.
 
Wanataka hata ukiwafumania wanapiga dili za mafuta usiwapige pichaa . Pale kivuko hakuna ni ujinga mtupu
 
hivi usalama mle upoje? Life jacket na maboya yanakidhi idadi?

Samahani! Ule mpango wa daraja umeishia wapi?
hapo umenigusa mkuu, mfano kipindi navuka kuja mjini majira ya saa nne asubuh leo nilimsikia yule dada wa matangazo anatangaza kama kuna mtu amesahau begi lake alifuate atalikuta ! Nikajiuliza sana kiusalama inakuwaje hapo? Kama mtu kaweka bomu si atakuwa amefanikiwa? Kiusalama pale ni sifuri, nenda kakae karibu na kituo kidogo cha polisi ni aibu sana jinsi wanavyokula rushwa, na wamekuwa madalali kwa matajiri wasiotaka kukaa foleni kwa kwapitisha baada ya kupewa rushwa,
utashangaa polisi wa kawaida wanavyohangaika na bima pamoja na tlb za magari wakisahau wajibu wao wa kuangalia usalama wa watumia kivuko, kuna mmoja angalau anafanya wajibu wake kidogo huwa anatoa sana elimu ya usalama kwa watumia kivuko kwa kuwashauri maadereva wazime magari yao, washushe vioo, wafungue mikanda nk(bahati mbaya simjui jina wala namba yake)
kuhusu daraja linaendelea vizuri tatizo ninaloliona ni kwamba daraja litaisha lkn kutakuwa na tatizo la barabara za kuunganisha na maeneo mengine ya kigamboni kwani sioni harakati zozote za ujenzi wa barabara ile ambayo ni ya vumbi na isitoshe ni one way road huku matoleo ya daraja ni three way!
 
Uongozi wa juu ukiwa mbovu kila kitu uharibika.Uongozi wa JK ndio chanzo cha madudu yote.
 
Hapo lilizimika karibu masaa matatu ilipelekea Gari la wagonjwa kupita Daraja jipya ili kuwahi dharula hiyo
 

Attachments

  • 1420390524305.jpg
    1420390524305.jpg
    71 KB · Views: 213
Back
Top Bottom