Siku saba zilizobaki bado unataka hoja juu ya kumchagua lowasa au la!!isitoshe hoja yako imekaa kilevi ndo mana sihitaji kukujibu nikiwa mzima ni kupoteza madini yangu kichwani muda wa hoja umeshapita tunasubiri kupiga kura tu...wewe endelea kujenga hoja sisi tunasubiri kumuapisha lowassa awe...
Ngoja ifike mida ya jioni kuanzia saa 10 hivi nikishaweka ndovu kadhaa kichwani nitakujibu huo upuuzi uliouleta hapa!!nani kakwambia ili nimpe kura lowasa mpaka nimsikie akihutubia??hivi kwa sasa unaweza kubadilisha maamuzi ya kumpigia kura mtu kwa sababu hujamsikia akihutubia?Lowasa hata...
Mkuu mtanange huu wa moto kwelikweli nimeufatilia tangu mwanzo naona kila mtu anatoka uwanjani kwa style yake huku wengine ndo wanapiga jalamba..haaaahaaa!!
Mkuu shaurimbaya hajasema ni wapiganaji ila ni "wapigaji" yaani wazee wa short cut hawalipi ushuru hao wanaendesha biashara kiujanjaujanja hao hawawezi kufilisika mpaka lowassa aingie madarakani ndo atawaweza,huyo magufuli atawanyanyasa wa tz wenzie tu huko mawizarani lakini kwa watu kama hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.