Recent content by chambimagaka

  1. chambimagaka

    Kwa mshahara huu, Mo Dewji utajiri wako unatokana na unyonyaji wa wafanyakazi wako

    Mzee baba hakuna boss anayetamani kumwona mfanakaz wake anasherekea na mshahara wake , tofauti na hapo ataitwa majna mengi km mwinz n.k! Hakika kuajiriwa bongo ni utumwa
  2. chambimagaka

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Golden cross ni moja ya filamu nzuri sana
  3. chambimagaka

    Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

    Mm n mhavidhina sana wa vitabu, naomba unitumie mkuu riwaya yoyote uliyonayo ikiwezekana zote km unazo ili nizidi kunenepesha na kuimarisha ubongo Wangu! Nitumie kupitia nntugwa@gmail.com Nitashukuru sana bosi
  4. chambimagaka

    Wale wa 835KJ Wanakumbusha muda wa Kimbinyiko mambo yalivyokuwa FIRE

    Huu Uzi km utadumu kinoma koz mambo sasa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
  5. chambimagaka

    Wale wa 835KJ Wanakumbusha muda wa Kimbinyiko mambo yalivyokuwa FIRE

    Mmmm! Jamani, hivi hata humu mpooo! !!¡ wapi AF kimavi, kubwa la maadui! Aiseeee! Ni shiiiiiidaaaa
  6. chambimagaka

    Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

    Nimekupata mchumi, ila naomba maelezo kidgo kwenye betting centre watu huwa wanapataje faida?
  7. chambimagaka

    Msaada kuhusu VISA ya UK visit..

    Ila kwa waingereza wakija huku wanabadilisha tena kwa kusaidiwa na maafisa Uhamiaji na labour officers wetu
  8. chambimagaka

    Jeshi la Polisi na Mauaji dhidi ya Wananchi

    ____________ Tangu juzi nimekuwa nikiandika na kufuta. Nimejizuia sana kusema lakini nimeona niseme japo kwa "kifupi" kwa sababu kukaa kimya katikati ya uovu ni kuunga mkono uovu huo. Polisi wameua tena. This time wamemuua binti mdogo asiye na hatia, Aquilina B. Aqueline mwanafunzi wa mwaka wa...
  9. chambimagaka

    DStv iko poa sana nunueni msiogope

    Hpn, mfano continental ukiwa na 12 unaweza kununua kisimbuzi
  10. chambimagaka

    Anasema Happy Joseph aka BIBI!

    Turudi nyuma kidogo. Musiba alikuwa wa kwanza kumpinga Lisu kwamba Tanzania Si salama. Baada Ya kushindwa kumshtaki akasahau alichosema, akaja na majina Ya watu hatari. . Tena akielezea hatari yao Tangu miaka kadhaa ilitopita. . . Maana yake ni kwamba, anakubaliana na Lisu kwamba Tz si shwari...
  11. chambimagaka

    Maji ni Mtego wa Umasikini (poverty trap)

    Karibu Mh. Zitto, Pili pokea salamu zangu maana nimekuwa mlevi wa Sera na aina siasa unazoziendesha! Tatu, naomba nijikite kwenye hoja thabiti uliyokuja nayo , ni ukweli usiopingika kuwa maji yamekuwa mtego wa masikini hapa nchini kwetu tangu tupate Uhuru na mwarobaini wake haujapatikana...
  12. chambimagaka

    Dotto Bulendu: Ni kweli adui mkubwa wa maendeleo ni vyama vya upinzani kiasi kwamba tunatamani kuvifuta?

    Doto n mmoja wa wanahabri wachache ninaowakubali sana hapa bongo, ukisikiliza mijadala Yake star TV huwa sitoki mkavu/mtupu! Wanahabri wengine, tuige mfano wa huy jamaa
  13. chambimagaka

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Poa mkuu! Roja Ova Readable Send Timamu Aaa nimekusoma tano tano tano
Back
Top Bottom