Msaada kuhusu VISA ya UK visit..

Msaada kuhusu VISA ya UK visit..

Ok,je ni njia gani wanayoitumia wanaozamia UK baada ya kuwasili na visiting visa?

Wanaofika na visiting Visa , humtafuta demu wa hapa au wa nchi yeyote iliyopo Eu ...wanaona huko Kwao au Tanzania na Wana Rudi , ndio mchezo huo , demu wa Eu utampata hata huko bongo, wako kibao tu... na wakisikia unataka Kuwaowa, hawakuachi, bora tu uwe genuine na wasijue nia yako...kumbuka ukitaka kuoa ndani ya Uk , ni lazima uombe kibali cha home office na hutapewa ukiwa una visitors viza...
cha msingi sio kuomba visitors Visa , omba huko huko fiancé Visa itakayo kuruhusu ku- switch na ku extend kwenda categories nyingine...
 
Back
Top Bottom