Recent content by Chamamu

  1. C

    Ushauri: Mama mkwe kaniambia nimpe mwanae talaka

    Tatizo hata wewe una shida ndio mana mama mkwe kaona mwanae hayupo sehemu sahihi na akaweza kuongea. Inamaana mke haruhusiwi kwenda kusalimia kwao? Au ukishamuoa basi anakuwa hana uhusiano tena na kwao? Kwanini msingekubaliana muende kote badala ya kumrudisha kwao kisha kataka kwenda kusalimia...
  2. C

    Wiki ya 41 sasa mtoto hajazaliwa

    Acha kumtisha bila sababu.
  3. C

    Baadhi ya mabosi kuwa mashoga, ni laana ama?

    Hayo maneno yako yametokana na gongo ulizokunywa ukachanganya na bangi ukidhani unakula mchicha na kushushia na maji.
  4. C

    Mnadai haki sawa lakini mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa sawa

    Imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho. Cha kushangaza mwanamke anakula kwa jasho na anazaa kwa uchungu. Majukumu yako hautekelezi ya kumfanya mke ua umlishe na kumpendezesha unalia lia tu eti ooh mnataka usawa gani. Unaposema kwenye biblia inasema mwanaume ni...
  5. C

    Athari za Mayaya kwa Matunzo ya Mtoto

    Kiuhalisia siku hizi wamama wengi ni wataftaji so lazima watoke asubuhi na kurudi jioni., full housewife ni wachache sana. Kuwa na yaya haiepukiki cha msingi ni kuwafunika watoto kwa damu ya Yesu.
  6. C

    Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

    Ila mbona miguu imekanyaga chini tena imekunjika kidogo? Hivi inawezekana kweli kujinyonga halaf miguu ifike China vizuri hivyo?
  7. C

    Ishu ya Polisi kubaka, msichana asimulia (audio)

    Kama wewe ni mwanaume basi sio baba, na kama ni mwanamke sio mama. Kama mkuu hajielewi mtoto wake anahusika nini hadi umwombee abakwe? ???? Wewe ndio walewale wapenda kutoa laana. Mie huwa nashangaaga unagombana na mtu then unamtukania mama yako hivi kiuhalisia kosa la mama ni lipi huwa??? Sasa...
  8. C

    Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

    Wewe huna ndoa umeamua kutunga tu, Na kama unawatoto huyo ni mzazi mwenzio tu na mlishachokana so unatafuta uhalali wa kubwagana, Na kama kweli una ndoa basi ni ndoa changa Wewe mwenyewe akili changa na uliingia kwenye ndoa fasheni. Huna hata chembechembe za kufaa kuwa mume bora labda bora...
  9. C

    Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

    Hahahaaa. ... mkisikia wake kuchepuka vinawauma kwelikweli, Ila wanaume kuchepuka ni urijali. Hahahaaa. .... ukigawa game nje lazima na yeye agawe game nje tuuu sabab hakuna namna nyingine
  10. C

    Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

    Mmmh! Tunaomba tafsiri ya neno kichwa cha familia. Miaka ya sasa unaendekeza mfumo dume?
  11. C

    Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

    Ninakuhakikishia kipindi mkeo atakubaliana na wewe uwe na siri zako na mambo yako naye ameamua kuwa na siri zake na mambo yake. Unawezafurahia mkeo amekupa uhuru unaoutaka kumbe loooh! Mwanamke ni zaidi ya umjuavyo.
  12. C

    Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

    Na mkeo akishajua kuwa umemgroup kama adui lazima akusaliti sabab hakuna namna nyingine. Atendelea kuwa adui yako kwa siri halaf atakuwa Na protector wake na maisha yatasonga raha burudani.
  13. C

    Ufafanuzi: Safari za nje za ofisi ya CAG

    Ukaguzi wa umoja wa mataifa (UN) Ukaguzi huu serikali Ya Tanzania haitoi hata senti. Bajeti yake hutolewa na Bodi Ya ukaguzi Ya umoja wa mataifa(UNBOA) kwa nchi tatu ambazo zimechaguliwa kukagua agency za UN. Nchi hizo ni Tanzania, UK na India. Hivyo ofisi Ya ukaguzi Ya nchi husika hupewa hela...
  14. C

    Babu Seya atua Mahakama ya Afrika, Awasilisha hoja tatu

    Shida ni kuwa wengi wanasema kesi ya kutengeneza na wale watoto kubakwa sio kweli. Kama kweli walibaka hukumu inawahusu, ila kama si kweli hukumu ni hapahapa huko mbele ni kufunga mahesabu.
Back
Top Bottom