Juzi usiku nilikuwa nasikiliza wimbo wa Franco Luambo na TP OK JAZZ inaitwa CANDIDAT NA BISSO . Wimbo una dakika 19 ila unamsifia Mobuttu Sese Seko mpaka kero.
Comments zako nyingi zimekaa kuisifia CCM na dalili zote ni Shabiki wa CCM.
Sasa Kwa Nini ukiwa CCM ni synonymous na kuwa huna akili? Jeshi la Magereza wanahusika vipi na kukamata Wahamiaji haramu?
Nchi hii ni aibu sana kila Kona ni incompetence na ignorance ya Hali ya juu.
Salim Ahmed Salim alishapata kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na akitokea Zanzibar.
So Mzanzibari akiwa PM halitakuwa jambo geni isipokuwa haita make sense maana PM anahudumu Tanganyika pekee
Kete = Marais
Kupigwa= kufariki
Kete zilizobaki = Marais waliopo
4 na 6 = Awamu ya 4 na 6
4+6 =10= Oktoba= Mwezi wa Uchaguzi so 4 kumsaidia 6 mwezi wa kumi kwenye Uchaguzi
Mengine endeleeni
Jamaa Quinine Leo umekuwa disappointed sana. Mwezi Desemba Mwaka jana ulikuwa timu Lissu, then ghafla ukarudi Kwa Mbowe, ukasikitika sana Mbowe kushindwa Uchaguzi lakini now umerudi kuwa Mbowe anakiharibu Chama
Hakuna ushahidi wa wazi wa tuhuma zote zinazowekwa dhidi ya Mbowe lakini mazingira...
Ni kosa ndiyo Kwa sababu hiyo ni kwenda kinyume Cha Maamuzi halali ya Chama. Kamati Kuu ya Chama ilishaamua hakuna mabadiliko basi hakuna kushiriki Uchaguzi. Inakuwaje wewe uliyeshiriki kwenye Kamati Kuu ukakubaliana na maazimio ya Chama, ukatoka nje na kiyatangaza na kuyawekea mkazo , miezi...
Tafakari kama kweli Viongozi wa zamani Wana dhamiri njema. Imagine mtu kama John Mrema alianza kuushambulia Uongozi ukiwa na siku Moja tuu. So unatarajia hao kina Lissu wafanye reconciliation saa ngapi wakati hata hawajakabidhiwa Ofisi wanashambuliwa. Kwanza hiyo peke yake ni disrespect kubwa...
Wengi hamumuelewi mtoa mada.
Mtoa mada ana ill intent kwenye bandiko lake. Amejaribu kutengeneza taswira kuwa tatizo sio Wanachama wanaohama Bali tatizo ni Viongozi wapya wa CHADEMA. Mtoa mada ni miongoni mwa Anti-Lissu na Anti-Heche. Msomeni mabandiko yake yote hapa muone kama ana dhamiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.