Recent content by chamakh

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kwa wahenga wenzangu naitafuta hii nyimbo

    Pitia hii thread Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi | Page 3 | JamiiForums Kenya Nyimbo za Wana Ikibinda Nkoi
  2. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Huyu Ni Mtu aliyeacha kuiunga mkono CHADEMA baada ya Mbowe kushindwa Uchaguzi. Kwa sasa yupo kazini kuwachafua Viongozi wa Chama chenu Kuweni naye makinj
  3. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Tangu mwanzo ameonesha yupo Kinyume na Uongozi huu. Sio mtu mwema Kwa CHADEMA. Post zake kadhaa amekuwa akiwatukana Viongozi wa sasa wa CHADEMA. Huwezi kuwa unatukana Viongozi Kisha ukasema upo nao pamoja. Yupo kwenye rekodi akitaka Lissu afungwe maisha. Je, huyu Mmawia anaitakia mema CHADEMA?
  4. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    https://www.jamiiforums.com/threads/tumekabidhi-chama-kwa-watu-wasiojua-kuponya-majeraha-bali-kuongeza-majeraha-mpasuko-huu-ni-mkubwa-sana-siasa-za-kitoto-zimetufikisha-hapa.2325366/page-4#post-53366530 Hapa ndio utamsoma vizuri mtoa mada
  5. C

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Mtoa mara katika Moja na mbili Uzuri JF never forgets
  6. C

    JamiiForums Tanzania PNA: Viongozi, Waenezi wa Vyama, Heshimianeni, Tumieni Lugha za Heshima!, Mwenezi CCM ni Kenan Kihongosi, Sio Kenan Kikaragosi. Brenda Omba Radhi!

    Watu wengi hamjamwelewa Pascal Mayalla Amepeleka ujumbe wa kumkejeli Kenani Kwa kumuita Kikaragosi na amefanya ku amplify hayo makosa kijanja sana na in a safe way kwake 😀😀😀. Hapo katikati ametumia maneno ya kuiponda CHADEMA Kisha akaweka tena kuhusu Yuda na Kauli za Kichochezi za Viongozi wa...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Ustaarabu wa mwanzo Tanzania ulikuwa wapi? Tanganyika au Zanzibar?

    Hapa Malaria Sugu Malaria 2 huwezi kumuona maana umempiga na kitu kizito sanaaaa
  8. C

    JamiiForums Tanzania Ustaarabu wa mwanzo Tanzania ulikuwa wapi? Tanganyika au Zanzibar?

    Ukisoma Periplus of the Erythraean Sea, Kitabu Cha Wagiriki Cha Karne ya Kwanza, kulikuwa na Dolanya Azania mahali ambapo mto mkubwa unaingia bahati ya Hindi huku ukiwa opposite na Kisiwa Cha Menothius. Huu mto umeanzia mbali ambako Kuna Mlima wa Mwezi na mahali ambako Kuna Chanzo Cha mto Nile...
  9. C

    JamiiForums Tanzania The Economist: Is Samia Suluhu Hassan Africa’s most disappointing president?

    Ila Pasco!!!! 😀😀😀😀 Wavuruge, wachanganye kama Chipsi mayai 🤣🤣
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kongole Khalifa wa The Chanzo

    Vijana kadha wa kadha ambao nimepata kuwasiliana nao wanaonekana kum follow Thatboykhalifa. Anaonekana kujipambanua kama Mwandishi anayeamini zaidi katika weledi na maadili ya Uandiahi wa habari kwa kuwa impartial, trustworthy, fearless and inquisitive. Nimeona clip Moja akidaiwa kuwa yeye ni...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Umuzi wa Heche kuanza kuwarudisha CHADEMA wasaliti kama Halima Mdee unaenda kuiondolea imani iliyokuwa imepanda kwa kasi CHADEMA

    Lini Mdee karudi CHADEMA? Acheni kutengeneza mada ambazo hazipo. Mdee akirudi CHADEMA atakuwa karudi BAADA ya utaratibu w Chama kufuatwa ambalo sio Kosa.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Wewe ni Mchumia tumbo Threads zako kuelekeza Uchaguzi wa CHADEMA zinaeleza yote
  13. C

    JamiiForums Tanzania Napata mashaka mno na CHADEMA, wamelegeza msimamo wao?

    Naamini wewe ni CCM ama Pandikizi la CCM na hii hoja unaishadadia Kwa malengo maalumu. 1. CHADEMA wametoa masharti Saba ambayo yakitimizwa ndio wapo tayari Kwa mazungumzo ( sio Maridhiano). Kwa makusudi kabisa wewe na CCM Wenzio au watu ambao hamuipendi CHADEMA ya Lissu mnapotosha. Miongoni mwa...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Mbona hizi Propaganda tunaelekea mahali pa Zimbabwe?

    Juzi usiku nilikuwa nasikiliza wimbo wa Franco Luambo na TP OK JAZZ inaitwa CANDIDAT NA BISSO . Wimbo una dakika 19 ila unamsifia Mobuttu Sese Seko mpaka kero.
Back
Top Bottom