Recent content by chamakh

  1. C

    Mbona hizi Propaganda tunaelekea mahali pa Zimbabwe?

    Juzi usiku nilikuwa nasikiliza wimbo wa Franco Luambo na TP OK JAZZ inaitwa CANDIDAT NA BISSO . Wimbo una dakika 19 ila unamsifia Mobuttu Sese Seko mpaka kero.
  2. C

    GE2025 Utetezi wa saba wa Tundu Lissu, Mahakama Kuu ya Tanzania kwenye kesi yake ya Uhaini, Septemba 18, 2025

    Sijui kama Mayor Quimby anafuatilia na kuona nondo zilizoshiba za Lissu
  3. C

    Hili wimbi la wahamiaji hasa Burundi Jenerali wa Magereza anasubiri nini kupisha ofisi?

    Comments zako nyingi zimekaa kuisifia CCM na dalili zote ni Shabiki wa CCM. Sasa Kwa Nini ukiwa CCM ni synonymous na kuwa huna akili? Jeshi la Magereza wanahusika vipi na kukamata Wahamiaji haramu? Nchi hii ni aibu sana kila Kona ni incompetence na ignorance ya Hali ya juu.
  4. C

    Awamu ijayo, Rais Mzanzibari, Makamu wa Bara, Waziri mkuu Mzanzibari, Spika wa Bara, Combination safi sana kwa muungano

    Salim Ahmed Salim alishapata kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na akitokea Zanzibar. So Mzanzibari akiwa PM halitakuwa jambo geni isipokuwa haita make sense maana PM anahudumu Tanganyika pekee
  5. C

    COVID 19 Waendelea kutapatapa, Hawaeleweki wanachopigania

    Anapigania maslahi ya Jimbo lake la Uchaguzi la Tumbo
  6. C

    Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba anawasilisha Bajeti Kuu ya Serikali 2025/2026

    Nimesoma haraka haraka hij Bajeti lakini nimeona Haina jipya
  7. C

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    Kila sehemu Sasa naona ni NO REFORMS NO ELECTION
  8. C

    Checkers ni mchezo wenye uelevu na maono ya sirini

    Kete = Marais Kupigwa= kufariki Kete zilizobaki = Marais waliopo 4 na 6 = Awamu ya 4 na 6 4+6 =10= Oktoba= Mwezi wa Uchaguzi so 4 kumsaidia 6 mwezi wa kumi kwenye Uchaguzi Mengine endeleeni
  9. C

    Ni kweli CHADEMA ilikuwa Sacos na mali ya Mbowe?

    Jamaa Quinine Leo umekuwa disappointed sana. Mwezi Desemba Mwaka jana ulikuwa timu Lissu, then ghafla ukarudi Kwa Mbowe, ukasikitika sana Mbowe kushindwa Uchaguzi lakini now umerudi kuwa Mbowe anakiharibu Chama Hakuna ushahidi wa wazi wa tuhuma zote zinazowekwa dhidi ya Mbowe lakini mazingira...
  10. C

    CHADEMA tuwe makini, huku kuhama Chama kila wilaya kunakoendelea nadhani kuna mkono wa CCM

    Ni kosa ndiyo Kwa sababu hiyo ni kwenda kinyume Cha Maamuzi halali ya Chama. Kamati Kuu ya Chama ilishaamua hakuna mabadiliko basi hakuna kushiriki Uchaguzi. Inakuwaje wewe uliyeshiriki kwenye Kamati Kuu ukakubaliana na maazimio ya Chama, ukatoka nje na kiyatangaza na kuyawekea mkazo , miezi...
  11. C

    CHADEMA tuwe makini, huku kuhama Chama kila wilaya kunakoendelea nadhani kuna mkono wa CCM

    Tafakari kama kweli Viongozi wa zamani Wana dhamiri njema. Imagine mtu kama John Mrema alianza kuushambulia Uongozi ukiwa na siku Moja tuu. So unatarajia hao kina Lissu wafanye reconciliation saa ngapi wakati hata hawajakabidhiwa Ofisi wanashambuliwa. Kwanza hiyo peke yake ni disrespect kubwa...
  12. C

    CHADEMA tuwe makini, huku kuhama Chama kila wilaya kunakoendelea nadhani kuna mkono wa CCM

    Wengi hamumuelewi mtoa mada. Mtoa mada ana ill intent kwenye bandiko lake. Amejaribu kutengeneza taswira kuwa tatizo sio Wanachama wanaohama Bali tatizo ni Viongozi wapya wa CHADEMA. Mtoa mada ni miongoni mwa Anti-Lissu na Anti-Heche. Msomeni mabandiko yake yote hapa muone kama ana dhamiri...
Back
Top Bottom