Vijana kadha wa kadha ambao nimepata kuwasiliana nao wanaonekana kum follow Thatboykhalifa. Anaonekana kujipambanua kama Mwandishi anayeamini zaidi katika weledi na maadili ya Uandiahi wa habari kwa kuwa impartial, trustworthy, fearless and inquisitive.
Nimeona clip Moja akidaiwa kuwa yeye ni CUF ( Sina hakika labda ni kweli au si kweli maana hata aliyemtuhumu Halifa kuwa ni CUF hata yeye aliwahi tuhumiwa kuwa ni CUF so labda waliwahi kukutana katika Kazi za CUF). But, yote Kwa yote Khalifa anajitajidi sana nadhani hata kuondoka kwake katika Gazeti la The Citizen kulitokqna na kuandika habari ambayo baadhi ya Viongozi hawakuipenda na hivyo kumletea zengwe.
Nimeona clip Moja akidaiwa kuwa yeye ni CUF ( Sina hakika labda ni kweli au si kweli maana hata aliyemtuhumu Halifa kuwa ni CUF hata yeye aliwahi tuhumiwa kuwa ni CUF so labda waliwahi kukutana katika Kazi za CUF). But, yote Kwa yote Khalifa anajitajidi sana nadhani hata kuondoka kwake katika Gazeti la The Citizen kulitokqna na kuandika habari ambayo baadhi ya Viongozi hawakuipenda na hivyo kumletea zengwe.