PNA: Viongozi, Waenezi wa Vyama, Heshimianeni, Tumieni Lugha za Heshima!, Mwenezi CCM ni Kenan Kihongosi, Sio Kenan Kikaragosi. Brenda Omba Radhi!

PNA: Viongozi, Waenezi wa Vyama, Heshimianeni, Tumieni Lugha za Heshima!, Mwenezi CCM ni Kenan Kihongosi, Sio Kenan Kikaragosi. Brenda Omba Radhi!

Wanabodi,

Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.

Kwanza msikilize Brenda
View: https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast journalism, tukimsikiliza mzungumzaji ambaye amekosea kwa bahati mbaya kulitamka jina la mtu, kwa bahati mbaya utajua, na yule ambaye anakosea jina la mtu kwa makusudi ili kumtamka vibaya utamjua.

Mfano yule aliyemtamka mtu Samuya, au ile ya Mhe. Mungu, hapo ni bahati mbaya ya kweli ya kuleleza ulimi, na hawa wanaomuita Samuya kwa makusudi, tunawajua.

Brenda amemuita Kenan Kikaragosi, makusudically na kujifanya amekosea!.

Kitendo cha Mwenezi wa Chadema kumuita mwenezi wa CCM Kenan Kikaragosi, sio cha kunyamaziwa!, hii sio lugha ya kiungwana. Juzi kati kiongozi mmoja mkubwa tuu, ameitwa Yuda Bungeni na Bunge lote kimya bila mbunge yeyote kupinga hiyo hilo jina la Yuda, liko kwenye hansard za Bunge!.

Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.

Kuna mwandishi akamtajia kisha yeye kusema "huyo huyo!"

"Nilikuwa nimejanda kujibu na kumzungumzia lakini badae nikaona kwamba hafai kumpa muda wala, muda wetu wachama ni very precious kumzungumzia Kiongosi". Mbona hapo mwisho amelitaja hilo jina lake vizuri tuu!. Nawashauri viongozi wa vyama vyote kuheshimiana.

Ila pia naitaka serikali yetu, Msajili wa Vyama vya Siasa, na jeshi letu la polisi, kiongozi wa chama chochote akitoa matamshi hatarishi, achukuliwe hatua, na sio viongozi wa upinzani tuu!, mfano neno "tutakinukisha" sio uhaini ni sedition tuu!, kuna mwenezi wa chama fulani alitoa maneno hatarishi kwelikweli kwa usamala wa taifa, lakini hakuulizwa chochote!, kuna kiongozi alisema watu wanavyopoteza watu, hakuulizwa chochote!.

Vyama vyote ni sawa mbele ya sheria na viongozi wote ni sawa mbele ya sheria.

Tutende haki sawa kwa wote!.

Paskali.

Hakuna dhambi hapo, Bali ni sehemu ya game ya kisiasa na zaidi ya hapo ni "bora anaekutukana in public kuliko anaekupoteza in secrecy "
 
Wanabodi,

Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.

Kwanza msikilize Brenda
View: https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast journalism, tukimsikiliza mzungumzaji ambaye amekosea kwa bahati mbaya kulitamka jina la mtu, kwa bahati mbaya utajua, na yule ambaye anakosea jina la mtu kwa makusudi ili kumtamka vibaya utamjua.

Mfano yule aliyemtamka mtu Samuya, au ile ya Mhe. Mungu, hapo ni bahati mbaya ya kweli ya kuleleza ulimi, na hawa wanaomuita Samuya kwa makusudi, tunawajua.

Brenda amemuita Kenan Kikaragosi, makusudically na kujifanya amekosea!.

Kitendo cha Mwenezi wa Chadema kumuita mwenezi wa CCM Kenan Kikaragosi, sio cha kunyamaziwa!, hii sio lugha ya kiungwana. Juzi kati kiongozi mmoja mkubwa tuu, ameitwa Yuda Bungeni na Bunge lote kimya bila mbunge yeyote kupinga hiyo hilo jina la Yuda, liko kwenye hansard za Bunge!.

Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.

Kuna mwandishi akamtajia kisha yeye kusema "huyo huyo!"

"Nilikuwa nimejanda kujibu na kumzungumzia lakini badae nikaona kwamba hafai kumpa muda wala, muda wetu wachama ni very precious kumzungumzia Kiongosi". Mbona hapo mwisho amelitaja hilo jina lake vizuri tuu!. Nawashauri viongozi wa vyama vyote kuheshimiana.

Ila pia naitaka serikali yetu, Msajili wa Vyama vya Siasa, na jeshi letu la polisi, kiongozi wa chama chochote akitoa matamshi hatarishi, achukuliwe hatua, na sio viongozi wa upinzani tuu!, mfano neno "tutakinukisha" sio uhaini ni sedition tuu!, kuna mwenezi wa chama fulani alitoa maneno hatarishi kwelikweli kwa usamala wa taifa, lakini hakuulizwa chochote!, kuna kiongozi alisema watu wanavyopoteza watu, hakuulizwa chochote!.

Vyama vyote ni sawa mbele ya sheria na viongozi wote ni sawa mbele ya sheria.

Tutende haki sawa kwa wote!.

Paskali.

P wakati ulipochukuliwa press card na kurudishiwa baadae je uliombwa radhi?Je ulitaka kikaragosi kitwe mtu?Ama umeshaungana na watesi wataifa hili kutaka kuuita uchafuzi,uchaguzi na rangi kijani iitwe nyeupe?
 
Pascal, the issues raised here appear relatively minor for this forum, especially when compared to the much harsher accusations previously leveled by Kikaragosi against his opponents. It would be fair and consistent to apply the same level of critical scrutiny to those larger statements as well. Everything is fair in love and war.
Huyu mzee ni mpuuzi sana.
 
Ila wewe mzee sometimes unazingua mnoo,bahati mbaya kama muandishi mkongwe umeshindwa kufanya hata analysis fupi( investigative journalism) kuona namna mada zako unazoleta hapa JF,zinapokelewa kwa namna gani na ikiwezekana pengine uweze kubadili aina ya uandishi wako.
Mada zake, mwashambwa na mtibeli, too wordy unnecessarily,points za kutafutiza,
 
Huu ni uwezo wa mtu na mtu, kama watu wenye uwezo wa graphology, ukiandika tuu bila kutaji jina, mtu wa graphology anamjua huyo ni nani. Zamani barua za job application zilikuwa zinaandikwa kwa mkono, handwriting, kisha mtu wa graphology anazipitia, anajua huyu ni criminal, huyu sio trusthworthy, huyu ni thief, etc.

Nikisikiliza hotuba za viongozi, I can tell kipi ameandikiwa na yeye kutamka tuu, to pay lip services na kipi ni cha kwake kutoka ndani yake!, Je, kuna uwezekano baadhi ya Viongozi wetu wanatoa baadhi ya Ahadi kwa "Paying lip Services"?

Au nikifanya interview, nikimuuliza mtu swali, akinyamaza, kwa hicho kimya chake I can tell anajibu lakini kaamua kunyamaza, au kama hana jibu I can tell na kama hajui I can tell.

Jina langu la ubini, ni Mayalla, mara kibao, watu wanateleza ulimi na kuniita Malaya, I can tell, mtu akiita malaya kwa makusudi kujifanya ameteleza I can tell!.

Na kwenye mambo yetu yale, ukila chakula, unaweza kujua hiki ni fresh meal, na ukiletewa kiporo, unaweza kujua
unalishwa makombo au ni kiporo kimepashwa tuu!.

Binti amemuita mtu kikaragosi makusudi tuu kama mtu alivyoitwa Yuda!.

P
Hebu taja tofauti mbili kati ya maneno hayo. Kwasababu nijuavyo mimi mwizi yupo kwenye kundi la wahalifu, wasioaminika. Lakini wewe umemtaja mwizi na muhalifu kama watu wenye sifa tofauti. Wewe ni mwandishi mkongwe ambaye naamini haujaathiriwa na mwandiko wa kizazi kipya ambacho kwao kukosea maana sio shida zao utajiongeza mwenyewe. Neno mwizi limenipa maswali tajwa
 
Wanabodi,

Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.

Kwanza msikilize Brenda
View: https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast journalism, tukimsikiliza mzungumzaji ambaye amekosea kwa bahati mbaya kulitamka jina la mtu, kwa bahati mbaya utajua, na yule ambaye anakosea jina la mtu kwa makusudi ili kumtamka vibaya utamjua.

Mfano yule aliyemtamka mtu Samuya, au ile ya Mhe. Mungu, hapo ni bahati mbaya ya kweli ya kuleleza ulimi, na hawa wanaomuita Samuya kwa makusudi, tunawajua.

Brenda amemuita Kenan Kikaragosi, makusudically na kujifanya amekosea!.

Kitendo cha Mwenezi wa Chadema kumuita mwenezi wa CCM Kenan Kikaragosi, sio cha kunyamaziwa!, hii sio lugha ya kiungwana. Juzi kati kiongozi mmoja mkubwa tuu, ameitwa Yuda Bungeni na Bunge lote kimya bila mbunge yeyote kupinga hiyo hilo jina la Yuda, liko kwenye hansard za Bunge!.

Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.

Kuna mwandishi akamtajia kisha yeye kusema "huyo huyo!"

"Nilikuwa nimejanda kujibu na kumzungumzia lakini badae nikaona kwamba hafai kumpa muda wala, muda wetu wachama ni very precious kumzungumzia Kiongosi". Mbona hapo mwisho amelitaja hilo jina lake vizuri tuu!. Nawashauri viongozi wa vyama vyote kuheshimiana.

Ila pia naitaka serikali yetu, Msajili wa Vyama vya Siasa, na jeshi letu la polisi, kiongozi wa chama chochote akitoa matamshi hatarishi, achukuliwe hatua, na sio viongozi wa upinzani tuu!, mfano neno "tutakinukisha" sio uhaini ni sedition tuu!, kuna mwenezi wa chama fulani alitoa maneno hatarishi kwelikweli kwa usamala wa taifa, lakini hakuulizwa chochote!, kuna kiongozi alisema watu wanavyopoteza watu, hakuulizwa chochote!.

Vyama vyote ni sawa mbele ya sheria na viongozi wote ni sawa mbele ya sheria.

Tutende haki sawa kwa wote!.

Paskali.

Paskali, maneno ya majukwaani waachie wenyewe, mbona maneno wanayopopolewa upande wa pili hauyakemei? Hata hivyo karagosi si tusi au unataka aitwe Chapati kama Ruto? Unayemtetea kila siku anaichokoza Chadema ili imjibu kisha msajili aifungie. Please don't be a collaborator
 
Paschal uwa ana chekesha, siasa zinabadirika sana, achana na mambo ya akina nyerere ya kizamani. Ruto anaitwa kasongo. Wewe bado unaturudisha nyuma!!!! acha hizo
 
Bora hii huko X alimuita mrembo. Nadhani kuna namna viongozi wa CHADEMA hawajui hadhi yao. wanapaswa kuwa mfano kwa kila kitu ili waonekane ni serikali inayosubiri kuapishwa sio kuwa kama kikundi cha wahuni hakika wakiwa hivi ngumu sana kuaminika na wahafidhina wenye nguvu dolani huko.
 
Watu wengi hamjamwelewa Pascal Mayalla

Amepeleka ujumbe wa kumkejeli Kenani Kwa kumuita Kikaragosi na amefanya ku amplify hayo makosa kijanja sana na in a safe way kwake 😀😀😀.

Hapo katikati ametumia maneno ya kuiponda CHADEMA Kisha akaweka tena kuhusu Yuda na Kauli za Kichochezi za Viongozi wa Chama Tawala.

So haraka haraka utadhani anaiponda CHADEMA kumbe in reality ana cement jina la Kikaragosi na pia kuwasilisha ujumbe wake juu ya non impartiality ya baadhi ya Vyombo hususan Msajili wa Vyama kutovumilia Kauli za Wapinzani huku wakiacha Kauli mbaya zinazotoka Kwa Viongozi wa CCM.

So kiufupi Pasco ametumia a sandwich method kuwasilisha ujumbe wake ijapokuwa wengi huwa hawamuelewi na wanaona ni kama anafanya unafiki kuchanganya nyama na mbogamboga.
 
Hili zee choko kinyamaa alloh!!, kuna kauli ngapi huyo kikaragosi kazisema dhidi ya chadema?. Vipi kuhusu kumtuhum Lema kulipwa 15m ni dogo?.
 
Wanabodi,

Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.

Kwanza msikilize Brenda
View: https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast journalism, tukimsikiliza mzungumzaji ambaye amekosea kwa bahati mbaya kulitamka jina la mtu, kwa bahati mbaya utajua, na yule ambaye anakosea jina la mtu kwa makusudi ili kumtamka vibaya utamjua.

Mfano yule aliyemtamka mtu Samuya, au ile ya Mhe. Mungu, hapo ni bahati mbaya ya kweli ya kuleleza ulimi, na hawa wanaomuita Samuya kwa makusudi, tunawajua.

Brenda amemuita Kenan Kikaragosi, makusudically na kujifanya amekosea!.

Kitendo cha Mwenezi wa Chadema kumuita mwenezi wa CCM Kenan Kikaragosi, sio cha kunyamaziwa!, hii sio lugha ya kiungwana. Juzi kati kiongozi mmoja mkubwa tuu, ameitwa Yuda Bungeni na Bunge lote kimya bila mbunge yeyote kupinga hiyo hilo jina la Yuda, liko kwenye hansard za Bunge!.

Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.

Kuna mwandishi akamtajia kisha yeye kusema "huyo huyo!"

"Nilikuwa nimejanda kujibu na kumzungumzia lakini badae nikaona kwamba hafai kumpa muda wala, muda wetu wachama ni very precious kumzungumzia Kiongosi". Mbona hapo mwisho amelitaja hilo jina lake vizuri tuu!. Nawashauri viongozi wa vyama vyote kuheshimiana.

Ila pia naitaka serikali yetu, Msajili wa Vyama vya Siasa, na jeshi letu la polisi, kiongozi wa chama chochote akitoa matamshi hatarishi, achukuliwe hatua, na sio viongozi wa upinzani tuu!, mfano neno "tutakinukisha" sio uhaini ni sedition tuu!, kuna mwenezi wa chama fulani alitoa maneno hatarishi kwelikweli kwa usamala wa taifa, lakini hakuulizwa chochote!, kuna kiongozi alisema watu wanavyopoteza watu, hakuulizwa chochote!.

Vyama vyote ni sawa mbele ya sheria na viongozi wote ni sawa mbele ya sheria.

Tutende haki sawa kwa wote!.

Paskali.

Who are u?
 
Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.
Wakili nenda mahakamani kamshitaki huyo Brenda.
 
Wanabodi,

Nimeisikiliza Press Conference ya Mwenezi wa Chadema, Brenda Rupia. Amemuita Mwenezi wa CCM, Kenan Kikaragosi badala ya Kenan Kihongosi, nikaona kauli hiyo inatakiwa kufanyiwa PNA.

Kwanza msikilize Brenda
View: https://youtu.be/lscfiTCe69o
Kwa sisi waandishi wa habari wa broadcast journalism, tukimsikiliza mzungumzaji ambaye amekosea kwa bahati mbaya kulitamka jina la mtu, kwa bahati mbaya utajua, na yule ambaye anakosea jina la mtu kwa makusudi ili kumtamka vibaya utamjua.

Mfano yule aliyemtamka mtu Samuya, au ile ya Mhe. Mungu, hapo ni bahati mbaya ya kweli ya kuleleza ulimi, na hawa wanaomuita Samuya kwa makusudi, tunawajua.

Brenda amemuita Kenan Kikaragosi, makusudically na kujifanya amekosea!.

Kitendo cha Mwenezi wa Chadema kumuita mwenezi wa CCM Kenan Kikaragosi, sio cha kunyamaziwa!, hii sio lugha ya kiungwana. Juzi kati kiongozi mmoja mkubwa tuu, ameitwa Yuda Bungeni na Bunge lote kimya bila mbunge yeyote kupinga hiyo hilo jina la Yuda, liko kwenye hansard za Bunge!.

Brenda amefanya makusudi kwasababu kwanza alilianza kwa kulitamka hilo jina vizuri tuu "Kenan Kiong", akakatisha na kusema "Kikaragosi", ili kujifanya ni amekosea kwa bahati mbaya akasema "Sorry", Kiong kisha akajifanya hamjui anaitwa nani, "Sijui, anaituwaje?. Hivi ni kweli Brenda ni wa kutojua mwenezi wa CCM anaitwa nani?. Mtu anaweza asielewe majina ya waenezi wa vyama vingine vyote, lakini sio CCM!.

Kuna mwandishi akamtajia kisha yeye kusema "huyo huyo!"

"Nilikuwa nimejanda kujibu na kumzungumzia lakini badae nikaona kwamba hafai kumpa muda wala, muda wetu wachama ni very precious kumzungumzia Kiongosi". Mbona hapo mwisho amelitaja hilo jina lake vizuri tuu!. Nawashauri viongozi wa vyama vyote kuheshimiana.

Ila pia naitaka serikali yetu, Msajili wa Vyama vya Siasa, na jeshi letu la polisi, kiongozi wa chama chochote akitoa matamshi hatarishi, achukuliwe hatua, na sio viongozi wa upinzani tuu!, mfano neno "tutakinukisha" sio uhaini ni sedition tuu!, kuna mwenezi wa chama fulani alitoa maneno hatarishi kwelikweli kwa usamala wa taifa, lakini hakuulizwa chochote!, kuna kiongozi alisema watu wanavyopoteza watu, hakuulizwa chochote!.

Vyama vyote ni sawa mbele ya sheria na viongozi wote ni sawa mbele ya sheria.

Tutende haki sawa kwa wote!.

Paskali.

Yaani wewe mzee unashida sometimes maauoumbavubyote wanayotufanyia sisiemu unaohili ndio jambo la msingi kwako..
Hivi unajua wameuwa ndugu zetu na hatujapata miili..
Mimi binafsi hatujapata mwili wa mtoto wa sista angu..
Mamaaaaeee 7/7 natoka kukishawasha
 
Back
Top Bottom