Recent content by Chamachama

  1. C

    Baba hataki nibadilishe dini ili niolewe

    Hakuna mapenzi wala nn ni tapeli tu huyo kijana hujui kitu ww ndo maana unabisha wao lengo lao waongezeke ukifika huko jamaa anatafuta mwanamke mwingine na sio hivyo tu ni mengi yanakera,sasa ww dada nenda kaolewe ukapate chungu ya mapenzi,ningekuwa karibu yako ningezabua na vibao ,nyau kabisa...
  2. C

    Baba hataki nibadilishe dini ili niolewe

    Bora nionekane ninachuki hata vilevile nao wana chuki na mm,kama ni ww mdada nenda kaolewe huko utarudi tena hapa baada ya mwaka mmoja kuomba msaada kimbia haraka kama mwizi huyo hakufai kabisa
  3. C

    Baba hataki nibadilishe dini ili niolewe

    mm namuombea huyo msichana kuwe na pingamizi kubwa ashindwe kuolewa na huyo muislam,na huyo baba awe ma msimamo sana na hiyo ndoa isiwepo,nmemaliza
  4. C

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    mashabiki upinzani muelewe tabia ya huyu lipumba ,kwanza nilistaajabu hivi vyama kuungana eti ukawa nilisikitika sana maana nilijua haya kuwa nn kitatokea,LIPUMBA NI MTU MSALITI SANA TENA MPENDA PESA NA MWENYE UCHU WA MADALAKA, MWAKA 2010, NI UKWELI USIOPINGIKA DR SLAA ALISHINDA KITI CHA URAIS...
  5. C

    Nirudiane au nisirudiane na mpenzi wangu wazamani?

    Fuata ushauri wa miss chaga,nikupe pole kwa majaribu hayo,pili fikiria maisha yako na huyo mumeo mpya huyo wa mzungu achana nae kabisa ndo anakuja kukumaliza ww hujui tu
  6. C

    Nimemtafutia kazi sasa anakataa kutoa penzi kwa bosi, mimi nimfanyeje?

    YAMKINI NI BIKIRA ILA KAMA ANAMKATAA BOSS NA MPENZI ANAMPA TENA FREE P BASI HANA AKILI KABISA MAANA HATA MPENZI UKIMWI ANAWEZA KUMPA NA PESA ASIMPE WALA HIYO KAZI,SS SI BORA UPATE KAZI NA MBUNYE UTOE,(natania) NAMPONGEZA DOGO ANAAKILI SANA MUNGU ATAMSAIDIA TU,WW MPE NAULI ARUDI KIJIJINI
  7. C

    Mjamzito: Najigeuzageuza sana usiku

    hata mm naomba nijibiwe nipo kama ww usiku kucha silali nikujigeuza,mbaya zaidi najikuta nmelalia tumbo miezi 4 na mm wataalam tusaidieni
  8. C

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    ww muongo acha kuwapa taarifa watu uongo,nani kakwambia wameshotlist watu 40?mm niko huku ppf nyie jiandaeni ni oral interview na kila mtu ktk postion yake aliyeomba kuna majopo ma8,ndani ya saa moja watu walioitwa ktk interview ya postion yako lazima wamalizwe ,msipanic kwa taarifa za uongo...
  9. C

    Nini chanzo na tiba ya kutapika?

    Ni wa kike?umri gani?asije akawa ni mjamzito maana siku hizi hata kakiwa kana miaka 10 mimba ndiii
  10. C

    Tatizo la uume kupinda (Peyronie’s Disease): Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    du aisee utakuwa na dude la maana hadi raha maana waliotahiriwa udogon weng ni vibamia loo mwe hadi mate yamenitoka
  11. C

    Niokoleeni watoto wangu tafadhali wanaJF

    ww hujui kule kuna bigwa wa magonjwa yote ambayo utazunguka kote hutapata dawa ya kupona ila kumkili tu bwana kuwa ni mwokozi wa magonjwa yote uliyonayo nawe unapona ,basi kama huamini pole sana imani yako ni haba
  12. C

    Mchumba wangu ni mbinafsi na bahili sana

    mama wa kichaga taa nyekundu ishalia muda ww mwanamke huelewi tu,haa watu wengine sijui namna gan,unaonekana unataka ndoa kwa kuvumilia ujinga haya ingia ndoani utaona kifuatacho ITV
  13. C

    Hivi Ugonjwa wa mama mkwe unanihusu kweli?

    navin-govind eeeee nimeishiwa na nguvu hapa akili yangu haifanyi kazi nimevaa viatu vyako hee hiyo ni hatariiiii
  14. C

    Ushauri wa haraka, wazazi wamegoma kurudi kijijini

    sikia hama hapo panga chumba kimoja tu,panga vitu vyako hapohapo na kitandaq usiku ukifika lala na mkeo kitandani watandikie chini wote 3,usiku yale mambo yetu yakianza waombe tu watoke nje kidogo kwani unataka haki yako kwa mkeo,then waambie sina kodi ya kulipa vyumba vingi kwana huna...
  15. C

    Msichana wa kazi ameniweka pabaya sana

    Kod jamaa la kiume toka mbali mpe hela hakikisha huyo jamaa hafahamiani na wife aje hapo home alete zengwe kuwa anamtaka mkewe huyo hg kwa kuwa ana mimba yake,then watasepa atajua mbele ya safari jinsi atakavyombwaga,utakuwa umemaliza so kwa wife,moyo utajiju nkuhusu mimba yako
Back
Top Bottom