kilizi, nakushauri muombe xana Mola wako Muumba bt @ the same time nenda kwa psychologist una matatizo pia ya kisaikolojia. huwez tu ukakaa unamuomba Mungu hlf hufanyi jitihada za kujitibu.
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaAfya ya uzazi
ukiwa na gf au mke mzoeshe mazoez hata kukimbizana au kuruka tu kamba pamoja yy ataona ni part of romance kumbe anajisaidia mwnyw na itakapotokea ni mjamzito hatoona tabu kufanya mazoezi cuz kishayazoea.
JamiiForums Kenya, JamiiForums TanzaniaAfya ya uzazi
inabd tuwe tayari ili kuepuka labor complications. km unamuona mkeo au gf wako anajilegeza wkt wa ujauzito ni hatari xana inabd uwe unamfanyisha mazoezi bt cyo ya kulift vitu vzito. acrobatics ndo yenyewe kwa hii matter
huu ni ubinafsi uliopitiliza, wadada tuwe makini na wanaume tunaotembea nao maana wengine ni hopeless kabisa hawajui hata sense of living. kuleta mackitko km haya hapa ni kuonyesha how irresponsible he is.
nawaasa waajiri wachunguze historia ya waajiriwa wao kabla hawajawaajiri. kesi km hii ilitokea marangu mwk huu mwanzoni ya yule houseboy kumchinja mtt wa darasa la kwnz hlf kumla ubongo wake, kumbe yule houseboy alikuwa insane. na kesi km hizi ni nyingi tu ambapo watu wana historia za mauaji au...
huyo dada ni ibilisi, had anajilinganisha kwmb amebleed hlf mtt hajableed, inamaana hajatosheka na ukatili wake dhidi ya mtt na bado anaona hajafanya kosa lolote.
pacpo kuaminiana hakuna mapenz ya dhati! ss unashauri wanaume wacwaamini wake zao hlf wawaamini watoto wao, je hao watoto wamezaliwa na nan? hizo ni fikra za kibinafsi tu!
ukimuona anang'ang'ania kuzaa na ww tu habari za ndoa hamna bac nae ni mbabaishaji tu hata awe mwema kwako kiasi gani. mwanaume mwny mapenz ya dhati kwako kutokana na hiyo situation uliyonayo abadaan hatotaka kukuongezea watoto nje ya ndoa bali atakuoa kwnz ndipo mengine yafate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.