Payer
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 824
- 189
Habari ya usiku wana MMU
Kama mwanajamii natambua na kusema kuwa kuna shida kubwa sana inayopelekea matatizo mengi ya afya ya uzazi na hasa kwa jinsi -ke.
Tatizo ya hili ni nini hasa na kama jamii tunawasaidiaje watu wa kundi hili?
Mf: si ajabu siku hizi mdada mjamzito akifua nguo beseni mbili ikapelekea miscarriage.
Na ni ajabu na adimu sana kusikia mdada kajifungua kwa njia ya kawaida ( bila kisu-operation ).
Nimeonesha machache tuu yaliyo common kwa wengi.
Karibuni tuchangie jinsi ya kuwasaidia hawa.
Kama mwanajamii natambua na kusema kuwa kuna shida kubwa sana inayopelekea matatizo mengi ya afya ya uzazi na hasa kwa jinsi -ke.
Tatizo ya hili ni nini hasa na kama jamii tunawasaidiaje watu wa kundi hili?
Mf: si ajabu siku hizi mdada mjamzito akifua nguo beseni mbili ikapelekea miscarriage.
Na ni ajabu na adimu sana kusikia mdada kajifungua kwa njia ya kawaida ( bila kisu-operation ).
Nimeonesha machache tuu yaliyo common kwa wengi.
Karibuni tuchangie jinsi ya kuwasaidia hawa.