Kila mfungwa apewe shamba lake alitunze mpaka mavuno, mavuno wagawane yeye na magereza kwa uwiano unaofaa. Sehemu ya mavuno yake iuzwe hela zao wawekewe kwenye account zao zitawasidia cku wakitoka
Biashara ya miamala kwa njia ya mitandao itashuka sana, bora wangeweka viwango rafiki kiasi.ni bora mtu ufuate hela yako ndogo kwa kupanda daladala au bodaboda
Ukihamia makazi mapya cku moja amua kukopa kwa mangi Mchele, sukari, unga etc na kumlipa baada ya cku 2/au 3 hata kama hela unayo. Cku ukikwama hupati shida kumkopa.
Unaweza kuungama hata mbele ya kanisa zima au umaiti wa watu. Cha msingi upo tayari kupokea fedheha na uadui kutoka kwenye huo umati kwa kukiri makosa yako kwa Mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.