Unaonekana una jazba unaongea kwa mihemko tafuna tangawizi mbichi itakusaidia
Huyo mmoja aliekuomba pesa ndio umejumuisha wajuba wote wa chuga punguza jazba jomba
Mashabiki wa bongo bhana! Kweli nyoso kwahiyo muanzisha thread unataka yanga ishinde mechi zote...? Kwani hizi timu nyingine zinazoshiriki hii ligi Ni vilema hawapaswi kushinda?
Mpira Ni ushindani sio lazima ashinde mmoja kila siku ikiwa hivyo ligi itashukia thamani Mimi Ni shabiki wa yanga...
Chuki binafsi tu suala la ushoga Ni current ishu kwa almost mikoa yote dsm nazani ndio yyheadquter kuhusu kuomba omba hakuna mkoa utaenda ukose omba omba by the way mtoa mada una lako Jambo kuitolea mfano Arusha wakikusanya nini hao machalii wa ara tuanzie hapo
Endapo vyama vya upinzani mtajipanga vizuri na kuacha blah blah mkatuletea wagombea wanaoeleweka uchaguzi wa mwaka 2025 utakuwa mwepesi Sana kwenu
Fanyeni haya yafuatayo
Andaeni wagombea watakaokua na sera nzuri kwa wananchi
Vipaumbele vyenu viwe Ni kuwainua na kuwapambania wananchi wa Hali ya...
Mimi sikuwahi kufatilia ligiya bongo ila ninapenda Sana kuangalia mpira wa ulaya na Ni mchezaji pia wa level ya mchangani huku
Msimu huu nimejikuta tu napenda kufatilia na kuangalia mechi za bongo especially yanga anapocheza Kuna wachezaji wanne wananivutia Sana kuwaangalia nao Ni bangala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.