Mi nachukia sana kuona vijana hawana hawana huruma na vijana wenzao watafutaji kama wao.! Unamfukuza vipi na gari mtu kabeba mbao ambazo hazina hata thamani ya elfu 50. Matokeo yake una sababisha madhara kabisa.
Jamaa na yeye si avae tu nguo za kawaida kwani mpaka kanzu? Ila kwenye ndevu tusipangiane kila mtu na ndevu zake.!
Ila twende mbele na kurudi nyuma wakiristo chuki na dharau zao kwa waislamu ni kubwa sana
Ndevu tu wanakuona gaidi ila wapo wakiristo wengi tu wanafuga ndevu na wanaona fahari...
Mtoa mada anaweza akawa yupo sawa. Mana wife kashawai niambie hiki kitu ni kweli kabisa tena bila kificho ngoja nitaje tu hapa hapa dsm kimara mwisho hapo kuna zahanati ipo barabarani ina mpaka kunguni na wanalala wawili kitanda kimoja na waja wazito
Mechi kocha kaicheza kizembe sana anataka kushindana na hawa jamaaa. Bora angeweka viungo watatu wa kukaba then huku tanzania ndio tukaweka mfumo wetu.
Wachezaji wa kitanzania pambaneni hata mkikaa benchi msibweteke sana unaweza kuanza benchi ila kama unajua unajua tu HUYU HUYU OKEJEPHA MECHI KARIBIA NYINGI HACHEZI LAKINI HAPA LEO ANACHEZA UTADHANI ANACHEZA KILA SIKU. ANA UTULIVU NA PASS ZINAFIKA KILA ENEO KIUFUPI HUYU JAMAA SIMBA HAWAMTENDEI...
Jamaa una andika haraka haraka alafu una andika kama mgeni wa hapa nchini. Sijui ni utoto au baleghe au hanithi
Umeandika kwa kujifanya mjuaji bila kutumia maarifa. Haya tuambie padre kashambuliwa umeshawai ona picha yake yupo hospital ana hata jeraha.?? Hiyo ni movie tu imechezwa kutengeneza...
Alafu hao mapadre na maaskofu ambao wana hizo PhD anglia impacts zao kwenye jamii ni zipi kama sio kila siku kutoa waraka na kueneza chuki kwa wafuasi wao.
Sasa watu kama nyie kweli mnafaida gani hapa kwenye jukwaa ??? Sasa hapo ndio umeandika upuuzi gani.??? Hizi ni chuki za wazi na kujionyesha mbele za watu kuwa una tafuta wanaume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.