Gazeti hili katika Toleo lake la tarehe 20, Aprili, 2017 limeandika kuwa Waziri wa Nishati na Madini, Msomi, Prof. Sospeter Muhongo alishiriki kikao cha tarehe 28. Septemba, mwaka jana ambacho kilijadili mpango kazi wa TANESCO ambapo gazeti hilo linadai kuwa katika kikao hicho ilikubaliwa kuwa...
Leo hii nikiwa ninataka kukata tiketi online ili na mie nipande pipa la fastjet kuelekea jijini Mwanza nimekutana na malipo yaliyonichanganya kwani nilipigwa na butwaa kuona kuwa gharama ya tiketi hizo kuandikwa kwa Dola wakati zamani tulikuwa tukilipa kwa shilingi. swali langu kwao FASTJEt. Je...
katika pitapita yangu jijini Dar es Salaam nimeshuhudia uchafu ukizagaa mbele ya nyumba za makazi ama sehemu za bishara. hapa ninachouliza ni kuwa hivi Manispaa mmeshindwa hata kujiwekea vijsheria vidogovidogo vya kuwabana watu wachafu??? kwa nini msiwakamate watu ambao mbele ya maduka yao ni...
jamani BBC sasa wanatangaza kuwa ndege inayomilikiwa na GERMANWINGS imedondoka karibu na Ufaransa na hakuna survivors, inasemekana ilikuwa na abiria kati ya 142 na 150. German Wings ni kampuni mwenza na kampuni ya ndege ya Lufthansa
habari wana jamvi, hivi karibuni nilitoa angalizo humu kuhusu mnara wa saa jijini Dar es Salaam ulio karibu na Stesheni kususwa na mamlaka inayosimamia vielelezo hivi vya Taifa ikiwemo Manispaa ya ILALA, bado uchafu uliopo eneo lile haujaondolewa na panazidi kuwa dampo, jamani hili jukwaa pia...
ELIMU YA VIONGOZI WA MATAIFA 5 TAJIRI DUNIANI
1. USA: GDP- US$ 17 billion BA, J.D (yaani Doctor of Law), Harvard
2. CHINA: GDP-US$ 10 billion President: BSc Chemical Engineering, LLD; Prime Minister: PhD Economics
3. JAPAN: GDP US$ 4.8 billion BA, MA (Univ South California)...
kwa wale mnaopita eneo la Clock Tower jijini Dar es Salaam, karibu na stesheni mtakuwa mmeshuhudia uchafu unaoendelea kutupwa katika mnara huo wa saa, hivi manispaa ya Ilala mko wapi, lile ni eneo ni makumbusho lakini uchafu ule mnauachia mpaka liwe dampo,. vilevile mzunguko wa kariakoo karibu...
Ndugu wanajamvi,
katika kuelekea kipindi cha Uchaguzi yapo mambo mengi ya msingi ambayo viongozi tutakaowachagua tunataka watupeleke katika Tanzania yenye Neema kwa kutumia Rasilimali tulizonazo kama document niliyoambatanisha inavyoeleza. Soma tujadiliane.
WALIOMSIKIA MHE MSUYA LEO ASUBUHI KIPINDI LIVE CHA ITV wamemsikia mzee huyu wa heshima akiongea maneno bila kumung'unya kuwa, "Watanzania wamekalia kulalamika,tusipobadilika hatutafika mbali,mnakalia kusema hamna Dira ya maendeleo,leo tumepata kiongozi mchapa kazi,kiongozi mweny Dira,.mmepigia...
jamani watanzania tuache siasa za majungu na tufanye uamuzi sahihi wa kumchagua kiongozi mwenye wasifu huu,(fungua link) ambaye wapenda majungu walimuundia uongo na kumdhihaki wanaanza kuanguka mmoja baada ya mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.