Wakuu kuna habari naomba ufafanuzi,huwa natumia castor oil kwenye gari yangu ndogo Toyota Isis ila kuna fundi anasema hiyo oil ni maalum kwa magari yenye turbo haifai kwa gari yangu na akaniambia nikitaka kuthibitisha niangalie oil huwa inapungua jambo ambalo nimeona ni kweli.
Wakuu natafuta amrest box ya toyota Isis, kimsingi hii gari haiji nayo ila nimefuatilia zinapatikana china kwenye online market shida ni shipping cost iko juu sana.
Naomba kufahamu shida nini Tanesco Makambako mjini nimelipia umeme toka mwezi wa 5 hadi leo..sababu naambiwa hamna nguzo au hadi mh waziri akija ziarani ndio tutawekewa umeme?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Great Thinker atamuelewa DC alitoa hiyo kauli kama kejeli kwa CDM soma vzr hiyo makala utamuelewa. Ni kwamba chadema wamejishushia hadhi kwamba wananunulika .
Kwa ufahamu wangu ni kwamba siku zote vyombo vya dola haviwezi kukuruhusu kuingia kwenye maji wakati wao hawana uthibitisho wowote kama ni proffesional wa kuogelea kwa maana kwamba ukifia kwenye maji wao ndio watabanwa kisheria walikuruhusu kwenda kuokoa kwa vigezo gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.