Nimeandika mara nne nikafuta. Ngoja nikae kimya tu mambo yasiwe mengi nikaja kupewa Economic case. Ila itoshe tu kusema uhaba wa maji Dar Es Salaam ulikuwa FURSA kubwa sana kwangu miaka ya 2011-2013.
Viwanda vikubwa ikiwemo Dangote, Twiga na Tanga cement wapo kwenye shut down for maintenance, viwanda vichache vilivyobaki ndio vinazalisha na vyenyewe vimezidiwa na wateja , kwa mazingira hayo kwanini bei ya cement isipande
Nenda Njombe ukalime bwana mdogo, kwa mazingira uliyopo sasa sioni NURU mbeleni zaidi ya kujipa matumaini hewa. DAR ES SALAAM ni mji unaopumbaza sana watu na kuwapotezea muda haswa ukiwa hauna uhakika wa kipato endelevu...
Kila la kheri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.