Recent content by chakii

  1. chakii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Amuweke ndani awe mke wake tujue moja
  2. chakii

    JamiiForums Tanzania SONGEA: Watu ambao hawajatambulika wawashambulia kwa mapanga viongozi na wafuasi wa CHADEMA kwenye mkutano wa hadhara

    A last kick of a dying horse. Chonde chonde CCM tuachieni nchi yetu
  3. chakii

    JamiiForums Tanzania David Djumbe asema kiongozi wa waliomteka alikuwa akiongea lafudhi ya ki Zanzibar

    Sa100 na ndugu zako mnatuharibia nchi yetu.. ondokeni
  4. chakii

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    This is too much asee. Hatuna Serikali
  5. chakii

    JamiiForums Tanzania Ushauri wenu wakuu

    Hongera subiri wazoefu wa eneo hilo watakusaidia...
  6. chakii

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa

    Habari mkuu, upande wa viziwaziwa na simbani kuna tofauti gani? Ikiwemo bei na jiografia? Msaada wako tafadhali
  7. chakii

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Tawala nyingi zilizofanya mauaji ya halaiki dhidi ya raia wake ziliporomoka

    Kuna wakati hata saa mbovu huwa inasema kweli
  8. chakii

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Kuezeka

    Kwa mtu ambaye hajafanya ujenzi hawezi kuelewa kwa hiyo msamehe. Anashindwa kujua kuwa huo siyo ujenzi wa tofali useme unajenga msingi na kupandisha kozi za tofali na kufunga lenta siku hiyohiyo, maana lazima usubiri tofali na zege likauke kwanza. Kazi ya paa kukamilika kwa muda mchache au...
  9. chakii

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Kuezeka

    Nyumba yako ina ukubwa gani mkuu
  10. chakii

    JamiiForums Tanzania Yanga na GSM zasaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa Yanga

    Eng. Herci Said ni beneficiary mkubwa katika hili.. Hilo mbona halina ubishi
  11. chakii

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Mkiona watu wameamua kukaa kimya msifikiri ni wajinga aisee
  12. chakii

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Warioba: Kwa matokeo yale Tume ya Uchaguzi ndiyo ilipiga kura sio Wananchi

    Huu ndio tunaouita Uzee Hazina
  13. chakii

    JamiiForums Tanzania Baada ya Marekani kuudhibiti Mlango bahari wa Hormuz, Rais Trump aanzisha Freedom-Poject kwenye Mlango huo

    Mkuu hii taarifa Trump ameipost kipitia mtandao gani?
Back
Top Bottom