Recent content by chakii

  1. chakii

    Door sealer,raba za kuzuia wadudu mlangoni

    Kuweni makini
  2. chakii

    Picha: Jumapili ya Leo nikiwa kwenye Ibada

    Wapi huko mkuu
  3. chakii

    chukua mbinu hii ya ujenzi

    MKuu tuma picha walau tuone kazi zako
  4. chakii

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Katika nchi ya utawala uliobatilika vifo kama hivi havishangazi maana kila mmoja anamuwinda mwenzake, hakuna aliye salama
  5. chakii

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Kwenye utawala uliobatilika ni vigumu sana kutofautisha natural death na planned death... anyway R.I.P Mzee Lukuvi, tutakukumbuka kwa mema kama uliyaacha
  6. chakii

    Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    Naona bado JF imefungiwa , bila VPN haingii mtu humu JamiiForums
  7. chakii

    Tamko kuhusu JamiiForums kuendelea kuzuiliwa kupatikana nchini Tanzania

    Hao TCRA kama vipi waifunguie JF tujue moja kuliko namna hii wanavyofanya mambo ya kihuni
  8. chakii

    TANZIA Makwaia wa Kuhenga afariki dunia

    Wazee WA maana wanaondoka wanabaki wazee wa tumbo wanaopewa posho na nauli kuja kumpigia makofi sa100 ukumbini
  9. chakii

    PostGE2025 Wataalamu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa walaani Ukiukwaji wa Haki za Binadamu nchini Tanzania

    Sa100 this time wewe na genge lako mmeyakanyaga. Hili haliwezi kupitia hivihivi, najua huelewi ila kadri muda unavyokwenda utaelewa vizuri
  10. chakii

    Wakuu Kuna wazee wanajitambua kuliko wale machawa waliokuwa ukumbini wanashangilia mauaji uzee sio umri ni fikra

    Wazee ndio hawa siyo wale wahuni waliojazwa ukumbini na Sa100 jana wakimpigia makofi
Back
Top Bottom