Recent content by chakii

  1. chakii

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Nimeandika mara nne nikafuta. Ngoja nikae kimya tu mambo yasiwe mengi nikaja kupewa Economic case. Ila itoshe tu kusema uhaba wa maji Dar Es Salaam ulikuwa FURSA kubwa sana kwangu miaka ya 2011-2013.
  2. chakii

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Viwanda vikubwa ikiwemo Dangote, Twiga na Tanga cement wapo kwenye shut down for maintenance, viwanda vichache vilivyobaki ndio vinazalisha na vyenyewe vimezidiwa na wateja , kwa mazingira hayo kwanini bei ya cement isipande
  3. chakii

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Kimfaacho mtu
  4. chakii

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Dangote alitaka awauzie mfuko wa cement kwa shilingi 5000 lakini viongozi wenu walafi wakamuwekea zengwe. Tulieni
  5. chakii

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Jirani zangu walikataa kuchangia nguzo ya umeme, sasa nimeileta mwenyewe wanalazimisha kuitumia na wao

    Inahitajika gharama gani kuunganisha umeme eneo linalohitaji nguzo mbili ?
  6. chakii

    JamiiForums Tanzania HAKI YA KULIPWA FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI

    Pole. Wanakuja
  7. chakii

    JamiiForums Tanzania Fr Kitima: Unataka uridhiane na nani na hujakiri kosa?

    Padri Kitima kanyooka. Hataki kona kona
  8. chakii

    JamiiForums Tanzania Mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari

    Huyo mmoja ni CHADEMA na siyo mwingine zaidi ya Lisu na Heche
  9. chakii

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    CCM naona mnakimbizana na zile siku 90
  10. chakii

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Kama Lisu hayupo kwenye hicho kikao hayo mazungumzo ni batili na maigizo ya kupotezeana muda tu...
  11. chakii

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Siku zote kesi za mchongo huwa hazina maisha marefu. AIBU kwa CCM , mahakama na Polisiccm
  12. chakii

    JamiiForums Tanzania Niko dillema, naomba mawazo yako

    Nenda Njombe ukalime bwana mdogo, kwa mazingira uliyopo sasa sioni NURU mbeleni zaidi ya kujipa matumaini hewa. DAR ES SALAAM ni mji unaopumbaza sana watu na kuwapotezea muda haswa ukiwa hauna uhakika wa kipato endelevu... Kila la kheri
Back
Top Bottom