Nilikuwa nikiamini nitapata majibu ya maswali yaliyokuwa yananikabili au validation ya mambo mengi niliyokuwa nikiyafikiria , kwa wakati huo kweli nilipata nilichotarajia kwa asilimia kubwa , pia niliamini ukiwa among Great Thinkers wewe nawe unakuwa na chance kubwa ya kuwa kama wao kupitia...
Natamani kuona tunaweza kusoma mjadala na kuishia njiani, kisha ukirudi baadae unaanzia pale ulipoishia kuliko kuanza upya.
Maxence Melo Please i know you can work on this!
Nimeandika mara nne nikafuta. Ngoja nikae kimya tu mambo yasiwe mengi nikaja kupewa Economic case. Ila itoshe tu kusema uhaba wa maji Dar Es Salaam ulikuwa FURSA kubwa sana kwangu miaka ya 2011-2013.
Viwanda vikubwa ikiwemo Dangote, Twiga na Tanga cement wapo kwenye shut down for maintenance, viwanda vichache vilivyobaki ndio vinazalisha na vyenyewe vimezidiwa na wateja , kwa mazingira hayo kwanini bei ya cement isipande
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.