Nilitaka kumalizia kwa kusema hakuna Serikali imewahi kuua watu wengi toka vita vya majimaji hadi leo, hii ndo Serikali imeua watu wengi sana.
John W. Heche
11 Septemba 2026
Hao ni mbuzi wa kafara kum protect Samia kusimama kizimbani, na mahakama haiwezi kukataa mashahidi anaowataka mtuhumiwa alafu mwisho wa siku hukumu iwe against mshtakiwa, tena kwa kesi nzito kama hii mshtakiwa ana uwezo wa kumtaka shahidi yoyote na akafikishwa mbele ya court pasipo pingamizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.