Recent content by chakii

  1. chakii

    JamiiForums Tanzania Ulikua na mawazo Gani kuhusu watumiaji wa JF ulivyojiunga??

    Nilikuwa nikiamini nitapata majibu ya maswali yaliyokuwa yananikabili au validation ya mambo mengi niliyokuwa nikiyafikiria , kwa wakati huo kweli nilipata nilichotarajia kwa asilimia kubwa , pia niliamini ukiwa among Great Thinkers wewe nawe unakuwa na chance kubwa ya kuwa kama wao kupitia...
  2. chakii

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Natamani kuona tunaweza kusoma mjadala na kuishia njiani, kisha ukirudi baadae unaanzia pale ulipoishia kuliko kuanza upya. Maxence Melo Please i know you can work on this!
  3. chakii

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 vs Mishangazi

    Utakuja kujitambua wakati umeshapoteza muda na nguvu zako
  4. chakii

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    BIASHARA INALIPA UKIONA MWENZIO ANAFANYA, INGIA SASA WEWE UIFANYE
  5. chakii

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

    Sema wewe ni Askari
  6. chakii

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi imekwama, nawezaje kufanya sherehe kwa bajeti ndogo isiyozidi milioni 5?

    Kila la kheri kwenye jambo lako. Mwenyenzi Mungu akufanyie wepesi
  7. chakii

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Ford ranger inauzwa - T/CQW

    Weka wazi gari ina changamoto gani mkuu mnunuzi afahamu mapema, hiyo bei iko chini sana
  8. chakii

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Nimeandika mara nne nikafuta. Ngoja nikae kimya tu mambo yasiwe mengi nikaja kupewa Economic case. Ila itoshe tu kusema uhaba wa maji Dar Es Salaam ulikuwa FURSA kubwa sana kwangu miaka ya 2011-2013.
  9. chakii

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Viwanda vikubwa ikiwemo Dangote, Twiga na Tanga cement wapo kwenye shut down for maintenance, viwanda vichache vilivyobaki ndio vinazalisha na vyenyewe vimezidiwa na wateja , kwa mazingira hayo kwanini bei ya cement isipande
  10. chakii

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Kimfaacho mtu
  11. chakii

    JamiiForums Tanzania Nasikia Cement imepanda hadi kuuzwa Sh 22,000 kwa mfuko. Mtaani kwenu mnanunua kwa bei gani?

    Dangote alitaka awauzie mfuko wa cement kwa shilingi 5000 lakini viongozi wenu walafi wakamuwekea zengwe. Tulieni
  12. chakii

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA Jirani zangu walikataa kuchangia nguzo ya umeme, sasa nimeileta mwenyewe wanalazimisha kuitumia na wao

    Inahitajika gharama gani kuunganisha umeme eneo linalohitaji nguzo mbili ?
Back
Top Bottom