mbona watoto wa mkapa hatukuwasikia kwenye kampeni hawa wakwere vp tena tangu lini familia nzima ikaingia kwenye kampen na kutumia hela ambazo hazina auditing. haka katoto wapambe njaa wa ccm ndo wanampa kichwa kama yeye mjuaji mbona hatukumsikia kabla baba yake hajawa rais.
mijitu ya tanga mivivu ndo mana inasifika kwa kilimo cha bustani na vijimatunda tu. ndo mana ccm inashinda hadi wagosi wa kaya waliimba jinsi hali mbaya ilivyo tanga lakin bado tu mnaikumbatia ccm shaur yenu.
sis huku aruha mjini tumekamua mbaya.
kweli kijiwe kimevamiwa tuwe macho na wanajamii ambao wametumwa na mafisadi kutuharibu. lakini sisi tunasema hatudanganyiki hivyo vibia na vichips wanavyohongwa shair zao. hiki sio kijiwe cha ccm tafadhalini mliotumwa na mafisi ya ahadi
sio huyo tu wahindi na wachina wamejaa kibao kariakoo na ukitaka uwe salama hata kama ni jambazi jiunge ccm. ila ucijitoe mana ukijitoa tu yatakukuta kama yaliyomkuta jeneral ulimwengu miaka ile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.