Nilizoea kukuta menu za kawaida kama wali maharage, pilau nyama,
wali mboganboga na kadhalika.
Nilipoenda Dodoma kuna migahawa nikakuta wanauza wali ugali nilishangazwa nikijaribu lakini sikupendezwa nayo kabisa. Baadae nikasikia pia kuna menu zaidi kama, ugali burger, piza maharage, ugali...
watu hawachangii au hatuchangii kwa wingi sio kwa kupuuza ila kwakua hatuna tunachojua, au tunajua kidogo sana kinachofanya kushindwa kujenga hoja na kuchangia kitu kinachoekeweka.
Logic ya kawaida: nikihifadhi kitu nimesecure ni changu nikiendelea kufanya hivi zinaongezeka natajirika.
Nature: ili kitu kiendelee kuongezeka lazima kitoe kitu chake kwanza mfano: mti lazima utoe kimvuli, muonekano mzuri, au matunda, kisha utaruhusuwa kuzaliana na kustawi
- ukiwa na mazao...
tatizo la kiimani naweza kukusaidia kama unataka. lakini jua kitu kimoja cha msingi ambacho kinakubalika kiimani na kisayansi kwamba asilimia kubwa ya vitu vilivyopo havionekani kwa macho, havisikiki, havishikiki
pia we live in 3 dimensions and we can't understand 4th dimension and so on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.