Recent content by chai ya rangi

  1. C

    Mipangilio ya chakula kwenye baadhi ya migahawa Dodoma ilinishangaza

    wali ugali upo hata location naweza kukuelekeza
  2. C

    Mipangilio ya chakula kwenye baadhi ya migahawa Dodoma ilinishangaza

    Nilizoea kukuta menu za kawaida kama wali maharage, pilau nyama, wali mboganboga na kadhalika. Nilipoenda Dodoma kuna migahawa nikakuta wanauza wali ugali nilishangazwa nikijaribu lakini sikupendezwa nayo kabisa. Baadae nikasikia pia kuna menu zaidi kama, ugali burger, piza maharage, ugali...
  3. C

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    watu hawachangii au hatuchangii kwa wingi sio kwa kupuuza ila kwakua hatuna tunachojua, au tunajua kidogo sana kinachofanya kushindwa kujenga hoja na kuchangia kitu kinachoekeweka.
  4. C

    Logic ya kawaida vs nature, ukielewa hichi kitu kimoja tu utakua umeelewa kilakitu katika ulimwengu

    Logic ya kawaida: nikihifadhi kitu nimesecure ni changu nikiendelea kufanya hivi zinaongezeka natajirika. Nature: ili kitu kiendelee kuongezeka lazima kitoe kitu chake kwanza mfano: mti lazima utoe kimvuli, muonekano mzuri, au matunda, kisha utaruhusuwa kuzaliana na kustawi - ukiwa na mazao...
  5. C

    Unafanyaje usafi wako wa mwili?

    tuelekeze hatua kwa hatua jinsi wewe unavyofanya. ndo maana nilishasema awalinsijakosea kukuchagua
  6. C

    Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    huyu anatafuta kaka, lakini pia mke bado sijapata na bado juhudi za kuhakikisha anapatikana zinaendelea all in all Hata najua basi nakupenda sana...
  7. C

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    tatizo la kiimani naweza kukusaidia kama unataka. lakini jua kitu kimoja cha msingi ambacho kinakubalika kiimani na kisayansi kwamba asilimia kubwa ya vitu vilivyopo havionekani kwa macho, havisikiki, havishikiki pia we live in 3 dimensions and we can't understand 4th dimension and so on
  8. C

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    kuanzia ulipo kua mdogo ?
  9. C

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    nikikua naitwa "dogo miujiza"
  10. C

    Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

    sijui ni nini natafuta njia ya kurudisha ili niweze tena
Back
Top Bottom