Wanaongea ukweli akina mama hao walikutana na wanaume hao kwa hiari yao wengi wao sasa faragha hiyo hiyo ingepaswa kutumika kutatua mgogoro baina yao wangefanikiwa zaidi
Ajabu kabisa hivi nje ya ukuta huo hakuna madini kweli maana can ni Tanzanite belt hata hapo nje ya ukuta yatakuwepo. Nawaza tuu kuna kaupungufu ka kufikiria hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.