Recent content by Chafya tamu

  1. C

    Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

    Mi nakubaliana na mtoa mada kwa 100%, nipe like kama nawewe unaamin kuwa wanawake wasomi ni vimbisha kichwa!
  2. C

    Kuliko ucheze na Waarabu bora ucheze na Shetani.

    We akili yako ka ya mganga wa kienyeji! Usimba na uyanga wa nini tena?Ndio mana kiwango cha taifa stars ni cha mchangani!
  3. C

    Ombi maalum: Rais Magufuli naomba ifute Taifa Stars na TFF

    Naifutwe tu!Mana hamna namna!
  4. C

    Ukizikumbuka hizi movie unakumbuka nini miaka hiyo?

    Lazima utakuwa unatoka mbeya wewe!Si bure
  5. C

    Msaada: Ndoto hii siielewi

    Mh!Mambo uliyokuwa unategemea kufanikiwa mwaka huu yatakwama,usitumie pesa kuwekeza katka biashara yoyote utapoteza pesa zako!Subri mwaka huu upite!
  6. C

    Kutoka uwanja wa Taifa: Mechi ya Tanzania vs Nigeria leo tarehe 05/09/2015

    King'amuzi cha AZAM hakina maana sasa!mbona kila kitu SUPERSPORT?
  7. C

    HESLB muda wa kufanya marekebisho usogezwe mbele

    hata wewe umekosea sio njie ni nyie!
  8. C

    Ushauri: Mumewe wa ndoa ameoa mke mwingine, anagoma kumpa talaka

    saizi wamelala but keep waiting.... .asubuh waatakujbu!
  9. C

    Mwanamke niliyemsaidia na kumpenda ametoroka na mtoto wangu

    achana naye! atarudi analia, tafuta binti mwingone mpe mimba tena, akuzalie mtoto mmwingine!
  10. C

    Girls nisaidieni kwa hili

    una pesa? maana mademu wa humu ni pesa kwanza! kama huna bora ingia mtasn kusaka humu hutopata!
  11. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo njombe ye aje mbeya na wilaya zake, mwalimu msingi-0765432283
  12. C

    GE2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Big 'NO' akihamia mi ntarudisha kadi asubuhi saa moja!
  13. C

    Mrejesho: Nimesafiri na BAJA 250 XLR kupitia mbuga ya Mikumi, kwa niliyoyaona sipiti tena

    Naona umeuchoka ugali!Unajipitisha mwituni kwa simba wala watu!
Back
Top Bottom