ni hapo kwenu lakini wengi hawampendi,tena hapa kwetu tokea kampeni,wanasema atawapelekesha sana,Watanzania hawapendi kufanya kazi aise,inaniuma sana ,watu wanataka wakae tu ,kisha wabebe mshahara na kula rushwa,kama hatutabadilika kila mmoja, kamwe Tanzania itabaki hapahapa hata aje Malaika...