weka akiba ya maneno.
Kuchaguliwa (kutangazwa kuwa mshindi) kwa dr. Pombe magufuli kunaleta funzo (fundisho) moja tu nalo ni
kuwa tanzania inahitaji tume huru ya uchaguzi na katiba ya wananchi.
na sanduku la kura tanzani halina maana
weka akiba ya maneno.
Kuchaguliwa (kutangazwa kuwa mshindi) kwa dr. Pombe magufuli kunaleta funzo (fundisho) moja tu nalo ni
kuwa tanzania inahitaji tume huru ya uchaguzi na katiba ya wananchi.
Kati ya majimbo 264, Magufuli ameshinda majimbo 218, hata baadhi ya majimbo yaliyoenda UKAWA, Magufuli ameongoza mikoa yote ya Tz bara kasoro Arusha, Kilimanjaro na Dar, endelea kujidanganya na propaganda ila ushindi wa Magufuli ni dhahiri, kama CDM wataendeleza propaganda badala ya hoja kama zamani watadondoka muda si mrefuKwako Wewe suala la kuwa na Tume huru na Katiba ya wananchi ni kelele tu?
Una imani na NEC kuwa ni tume huru na imetekeleza majukumu yake kwa uhuru na haki?
Ni kwa nini katika wadau wa uchaguzi ni CCM tu ndio wana imani na NEC?
We politiki unapiga porojo tu hapa.
Naamini Lowassa kashindwa, na hata ukimuongezea zile 'kura za mashaka' bado Magufuli kamnyoosha.
Yaani unataka kuniambia Lowassa kakosa hata fomu moja tu ushahidi wa matokeo ya jimboni (iliyosainiwa na wagombea na mawakala) ambapo NEC wamemchakachua.
Huo ni umburula.
Nashawishika kuwa Lowassa hana ushahidi wa kuibiwa.
Mchezo umegomea kwa mujibu wa data za BVR, wapiga kura waliojiandikisha Dar ni 2.7m wakati wa ile Mwanza ya Zamani (Mwanza, Simiyu na Geita) ni takribani 3.1m. Old Mwanza imeifuta Dar kwenye kiki.
Afu ngome ya Arusha. 1.06m imemezwa na Dodoma yenye wapiga kura takribani 1.1 pia.
Sasa Magufuli kafunika Dodoma na Old Mwanza na hivo kuzima kiki za Dar na Arusha.
Mchezo ukaishia hapo Mangi.
gape la kura million 2! na bado unadai umeibiwa
Hon Dr Magufuri kashinda kihalali kabisa, nina uhakika hata baadhi ya viongozi wa upinzani wamempigia kura kwa vile wana appreciate kazi yake Sema kimya kimya.
je?,fraud imefanywa ktkt majimbo 188,tumia akili..Marco Polo come on ona haya usoni kaka maghufuli hakushinda Urais kwa merit bali fraudulent election hii ni wazi
hata dunia inajua kwahiyo acha kualalisha haramu
Kati ya majimbo 264, Magufuli ameshinda majimbo 218, hata baadhi ya majimbo yaliyoenda UKAWA, Magufuli ameongoza mikoa yote ya Tz bara kasoro Arusha, Kilimanjaro na Dar, endelea kujidanganya na propaganda ila ushindi wa Magufuli ni dhahiri, kama CDM wataendeleza propaganda badala ya hoja kama zamani watadondoka muda si mrefu
Kwa hiyo hiyo tume ingemtangaza Lowassa mshindi ungeukataa ushindi wake??
Kwa hiyo wewe una amini hadi leo CDM wanajumlisha matokeo, wameshindwa kutangazwa hata jimbo moja waliloibiwa, wanaishia kutoa general statements tu, kamuulize EL aseme hiyo 10m votes amezipataje, usiwe na mahaba tu, tumia na akili zako.Mbona huna hoja. Mahali unaona ameshindwa kuiba kulishindikana. Ebu leta mantiki kwa nini vifaa na watu waliojaribu kukusanya matokeo kwa kuchukua matokeo yaliyotundikwa na data za mawakala wamechukuliwa na polisi ili wasiifanye kazi hiyo. kwa nini?
Naomba ujibu maswali kwenye post hii ambayo umeyakwepa.Kati ya majimbo 264, Magufuli ameshinda majimbo 218, hata baadhi ya majimbo yaliyoenda UKAWA, Magufuli ameongoza mikoa yote ya Tz bara kasoro Arusha, Kilimanjaro na Dar, endelea kujidanganya na propaganda ila ushindi wa Magufuli ni dhahiri, kama CDM wataendeleza propaganda badala ya hoja kama zamani watadondoka muda si mrefu
Weka akiba ya maneno.
Kuchaguliwa (kutangazwa kuwa mshindi) kwa Dr. Pombe Magufuli kunaleta funzo (fundisho) moja tu nalo ni
kuwa Tanzania inahitaji Tume huru ya uchaguzi na Katiba ya wananchi.
Hiyo gap imepatikana kihalali au kwa kuchakachua matokeo?gape la kura million 2! na bado unadai umeibiwa
Magufuli ameongoza majimbo 218 kati ya 264, kwa hesabu ndogo ni katika kila majimbo 6, Magufuli anaongoza majimbo 5, sasa sijui Nonda we ulitaka hayo majimbo anayo ongoza EL yatoke wapi ? Au ulitaka waanze kutangaza Kilimanjaro na Arusha tu ?Hiyo haitatokea kwa tume hizi NEC na ZEC kama zilivyo
Unafikiri kuna uwezekano kwa Tume za uchaguzi Tanzania kumtangaza mshindi mgombea wa upinzani?
Hilo lingefanyika Zanzibar ambako Tume imefuta uchaguzi ili kutengeneza mazingira ya CCM ishinde.
Unaweza kunisaidia kufahamu ni kwa nini NEC na ZEC zote zilitanganza majimbo ambayo CCM inaonesha kushinda kwa muda mrefu na yale ya upinzani kucheleweshwa kutangazwa?
Kabisa mkuu, kuna watu wanahisi wakiwa na pesa basi kila wanalotaka linakuwa. Shame on Them.!Hakika ni fundisho kwa watengeneza mitandao ya kwenda ikulu kisa wana viroba vya pesa , ,kazi, uadirifu,kujituma kuwatumikia watu ndo KUWA kigezo cha kupata viongozi,
Hiyo haitatokea kwa tume hizi NEC na ZEC kama zilivyo
Unafikiri kuna uwezekano kwa Tume za uchaguzi Tanzania kumtangaza mshindi mgombea wa upinzani?
Hilo lingefanyika Zanzibar ambako Tume imefuta uchaguzi ili kutengeneza mazingira ya CCM ishinde.
Unaweza kunisaidia kufahamu ni kwa nini NEC na ZEC zote zilitanganza majimbo ambayo CCM inaonesha kushinda kwa muda mrefu na yale ya upinzani kucheleweshwa kutangazwa?
Mbona ndio thread hii hii au unamaanisha nini mkuu NondaNaomba ujibu maswali kwenye post hii ambayo umeyakwepa.
Link https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...gufuli-ni-funzo-kwa-wengine.html#post14528771
Kwa hiyo Majimbo ya upinzani yalitangwazwa kwa kucheleweshwa na mwishoni kwa bahati mbaya?Magufuli ameongoza majimbo 218 kati ya 264, kwa hesabu ndogo ni katika kila majimbo 6, Magufuli anaongoza majimbo 5, sasa sijui Nonda we ulitaka hayo majimbo anayo ongoza EL yatoke wapi ? Au ulitaka waanze kutangaza Kilimanjaro na Arusha tu ?
CCM imengia kwenye uchaguzi ikijua kuwa Tume ya uchaguzi ni huru?Wakati mnaingia kwenye uchaguzi hamkujua kama tume ni huru ama la? Acheni kujitoa ufaham nyinyi.
Hiyo gap imepatikana kihalali au kwa kuchakachua matokeo?
CCM haiwezi kushinda uchaguzi wowote utakaosimamiwa na tume huru ya uchaguzi. Wananchi wamechoka na "maisha bora" na "maendeleo" yaliyoletwa na serikali zinazoongozwa na CCM.
Miezi kama minne iliyopita ni watu wachache sana waliokuwa wakiamini kwamba Dr Magufuli atakuja kuwa Rais wa nchi yetu, Hii ilitokana na mfumo uliokuwepo huko nyuma wa kuchagua mgombea ku-base zaidi kwenye makundi ndani ya Chama na umaarufu wa mgombea.
Kilichomwibua Dr Magufuli ni record yake ya uchapakazi, uadilifu, kutoyumbishwa hovyo hovyo kwa sababu ya kusimamia kile anachokiamini kwa manufaa ya wananchi na taifa kwa ujumla, Hiyo imejidhihirisha zaidi katika wizara zote alizowahi kuziongoza mfano Ujenzi na Miundombinu pamoja na Kilimo na ufugaji.
Fundisho tunalopata hapa ni kwamba usingoje mpaka upewe nafasi kubwa ya utumishi ndio uanze kuonyesha namna ya kuwatumikia wananchi. Piga kazi tu hata kama huna cheo chochote, usingoje mpaka uwe Waziri, Mbunge, M /"kiti serikali ya mtaa, nk
WASIPOKUONA BINADAMU MUNGU ATAKUONA NA KUKUINUA TU.