Recent content by cerxm

  1. cerxm

    Mzee Kikwete pumzika sasa, mpe nafasi Magufuli

    Jk bado ni mwenyekiti wa CCM sehemu nyingi unazomuona yupo kichama na si kiserikali
  2. cerxm

    Waziri Mkuu: Halmashauri ambazo hazitakusanya mapato kuanzia 80% nitazifuta

    Kila halmashauri ina makadirio yake hvo wanatakiwa kukusanya kwa zaid ya 80%
  3. cerxm

    Christopher Ole Sendeka ateuliwa kuwa Msemaji Mkuu wa Halmashauri Kuu ya CCM

    Na mbowe vipi tokeo lake ni mwenyekiti na kiongozi wa upinzani bungeni
  4. cerxm

    Tangazo la Makonda, nafasi ya Mkuu wa Mkoa ni ipi?

    Vitu vidogo kama hivi eti ntaunda kamati kusoma hujui hata picha huoni saa nyingn nakereka sana napoona mtu unachukua muda wako kuamua kupotosha jamii waziwazi
  5. cerxm

    Haya ndio majukumu ya mkuu wa Wilaya

    Nafikiri saiv anza kuweka mabandiko yako yako kwenye MMU maana naona kabisa una ugomjwa wa mapenzi ww your full of nonsense surprises anayekulipa kwa akili zako anakazi kweli
  6. cerxm

    Tangazo la Makonda, nafasi ya Mkuu wa Mkoa ni ipi?

    Chunguza ili uonekane haujakurupuka
  7. cerxm

    Tangazo la Makonda, nafasi ya Mkuu wa Mkoa ni ipi?

    Acha kukurupuka makonda mwenyewe alisema alitaka iwe kwa wilaya yake ila wamiliki wakamshauri ni bora iwe kwa mkoa mzima na akawasiliana na mkuu wa mkoa akapewa ruhusa sasa sijui shida kwako iko wapi kama hufatilii jambo huna haki ya kuzumgumza.
  8. cerxm

    Dira watakiwa kumuomba radhi Ombeni Sefue

    Alitajwa kama taasisi iliyondani ya ikulu kwamba anatumia cheo chake kwahyo majibu lazma yatokee ikulu
  9. cerxm

    CHADEMA Jaribuni kuwa Smart kidogo!

    Ukiomba hutoi limitation maana halisi ya kuomba ni si chako kwahyo lazima uwe mdogo aliwataka walipe ndo maana aliwapa time limit
  10. cerxm

    Hii ndio sababu kwanini ni muhimu Bunge kuonyeshwa live

    For the first time nimeona kitu kinachomake sense kwahili sawa ila kwa ushauri tu serikali ingeanza kwa kuruhusu TBC kuendeshwa kibiashara ili iweze saidia kulipia haya matangazo ya moja moja
  11. cerxm

    TRA yakusanya kwa mwezi trilioni 1.7

    Vipi unakaa ndan kulalamika au unatoka nje kutafuta
  12. cerxm

    TRA yakusanya kwa mwezi trilioni 1.7

    Kama ni propaganda waambie unaowaunga mkono ambao wana access na hzo data watuambie kuwa ni uongo
  13. cerxm

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Sijaona alipoandika lowasa na sumaye kabila moja alichoandika wengi ni wa kabila moja which is true chunguza uone
  14. cerxm

    Mchepuko

    U don't ---- down u ---- up lazima heshima iwepo ukifumaniwa yf lazima ajiupgrade
Back
Top Bottom