Recent content by central

  1. central

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    JAMAN NDUGU ZANGU WAKUBWA WA VODA IVI INAKUWAJE MTU AONGEE SEKUNDE 10 AFU MNAMKATA DAKIKA MOJA? maana huo utaratibu cjui ndo mpya au ni vip?
  2. central

    Tatizo samsung galax S 111

    smart4n mwanzon huwa zinaleta utata kuunganisha net had uwe mtundu kidogo,uwenda ukawa VPN hujaset au data roaming so try more au mtafute mtu mwenye utundu kidogo ataweka mambo sawa ukishindwa peleka duka lolote wanao uza sim au kwenye ofis za mitandao watakusaidia
  3. central

    Je, umewahi kujutia shahada uliyosomea? Njoo tushauriane!

    sawa ndugu yangu ila kikwazo ni kwamba familia zetu zinaamin kuwa mtu akimaliza degree yake pas matatizo ya hom aanze kuwa anatatua sasa kijana akifika hapo ndo pale atakapotaka mshahara 1m+,ila kijana akipewa nafas kwamba atafute tu pasipo kuwaza nyumban sidhan kama anaweza kuwa na haraka ya...
  4. central

    Je, umewahi kujutia shahada uliyosomea? Njoo tushauriane!

    guyz mi nachoamin kuwa na degree ni kukuza upana wa kufikiria,kumbe unaweza fanya hata kaz nje na koz yako na bado ukawa better in your income,eg.Mengi,DANGOTE,wote wana degree lakin hawajakaa kwenye maofis kusubir mishahara, jaman tujiamin na tusitake mafanikio ya haraka kama tulivyo vijana...
  5. central

    Umbali kutoka Dar kwenda Mwanza {km}

    na kama je hana source ya kugoogle atafanyaje au hata hiyo google map hajui jins ya kuitumia?
  6. central

    ST.JOSEPH VS DIT collages of engineering

    kaka ol a gud college wat is matter ni concentration yako,but in a matter of education kama utafanya electrical and tonics engg itakupa wigo wakuchakua wap pa kwenda kama ni 'trical or 'tonics
  7. central

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    huo ndo udaku sasa we kama unajua ametafsir si unapotezea tu.amefanya kuwasaidia na wengine wasioelewa.
  8. central

    Natafuta HTC One ya kununua

    sasa ndugu KITIMOTO kama una 5s wat if ukichukua mpya kabisa nadhan itakufaa otherwise fanya mpako uagiziwe abroad nadhan utafanya la maana zaid kama umekosa tz
  9. central

    Mshahara wa Civil Engineer

    engineers deserve much@2in1 ndo mana wazaz wengi wakisikia mwanae anasoma science anaanza kujipa dreamz za kuishi vizur mbelen
  10. central

    Mama mjamzito kujifungua mtoto mchafu

    thanx kwa elimu wakuu
Back
Top Bottom