Duh naona kwhy cjafany makosa kuapply dit-civil engineering,mm ni form 4 leaver2013
Hv jman civil eng analpw kiac gn kwa mwez
Duh naona kwhy cjafany makosa kuapply dit-civil engineering,mm ni form 4 leaver2013
Mweny degree au hata technician
Nadhani ungeweka wazi hocho unachokijua ingekuwa vema sana.Unauliza Civil Eng. Wa level ipi...nifahamishe upate majibu sahihi na huo uandishi wako nadhani hapa haujakaa sawa...ila na mimi vilevile ni mgeni hapa...twende sasa.
Duh naona kwhy cjafany makosa kuapply dit-civil engineering,mm ni form 4 leaver2013
Kwanza nikukaribishe Jamvini maana unaonekana mgeni, pili nikuulize maswali ya ufahamu unataka mshahara huo uufanyie nini?Hv jman civil eng analpw kiac gn kwa mwez
Kwanza nikukaribishe Jamvini maana unaonekana mgeni, pili nikuulize maswali ya ufahamu unataka mshahara huo uufanyie nini?
hata mimi napenda engineer ila napendelea electric nimmaliza mwaka 2016 nimepata division two mnanishaurije nimependa kwenda st joseph au dituyo kijana amemaliza form 4 anataka kwenda kusoma civil engineering kwa iyo alitaka kufaham iyo fani itamlipa au la pindi akimaliza chuo!