hatare sana kiukweli.. hii ni vita ulimwengu unaenda kasi hii kitu ikipitishwa bongo sipati picha maana TBL na Serengeti watauza sana bia.. lol
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
kabisaa Nssf wanazingua sanaa.. mimi nilikuwa nimepata mkataba kampuni flani nikapewa cheo kikubwa na mshahara mkubwa na elimu yangu secondary wananiweka ktk mfumo wa 33% hapo sijawaelewa kabisaa wakati sina elimu ya chuo chochote wakanambia mbona una cheo wameandika ktk barua ya kuisha...
kiukweli product yoyote ya Mjerumani naikubali sana ataingekuwa na piston 16 na zaidi hakuna gari mbovu kwa uzoefu wangu sasa tangu nianze kumiliki magari nina uzoefu miaka 15 na nimekuwa na brand tofauti... gari ya kijapani ni nzuri sana kwasababu spear zake copy ni nyingi ila mjerumani hana...
poleni sana nenda ka ofisi ya usalama wa taifa wilaya wasilisha hilo..ni mawazo yangu watakusikiliza..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mimi sifa zangu:
1.Mrefu wa futi 6.2 (Giant)
2.Mweusi
3.Mjasiliamali
4.Ninamaisha yangu najitegemea na kutegemewa
5.Miaka yangu 38
6.Mcha Mungu mkristo
7.Mwanamichezo
8.Ninaishi hapa Dar
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Samahani usinielewe vibaya ila ni kama umepangishiwa nyumba na boy wako then unaingiza wanaume wengine inaumizaga sana huuo jamaa amaekupenda ndio maana amekupa gari utumie alafu wewe unacheat au vaa viatu vyake... kaachini tafakari na wewe unasema hauna hisia naye za mapenzi
Sent from my...
Rudisha gari ya watu kuwa free msipotezeane muda fanya yako nayeye afanye yake kama umeshindwa kujiongeza kiubunifu... usije jaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji maana huko ndio mnakimbiliaga..
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sifa zake:
1. Mrefu awe zaidi ya futi 5
2. Muajiliwa wa serikalini
3. Dini yoyote awe mcha Mungu
4. Umri 27 adi 35
5. Asiwe na mtoto
6. Kabila na rangi yoyote/aliye jichubua rangi hapana
7. Awe tayari kucheki afya
NB;
=Nipo Dar Es Salaam
=Mawasiliano aje inbox itakuwa vema ukituma picha meseji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.