Acha usanii.......Yaani mgonjwa aondoke hospital bila kulipa matibabu,Demu aende club peke ake,hizo pesa wew unatoa wapi nyingi kiasi hicho wakati uandishi wako unaonyesha wew Ni wa level zetu tu.
Habari za wakati,wapo vijana kundi la 2020/21(op uchumi wa Kati) wakuingia jkt tarehe 05/01/2021 wakarudishwa nyumbani February 2021,wakaambiwa wataitwa Ila waliitwa darasa la Saba na form four...wanaomba samahani lakini pia Nini Hatima yao katika kupewa nafasi ya kwenda kujitolea ili wapate...
Maisha yamebadilika,ugumu Ni kwa wote hivyo kijana akipata mwanamke mwenye nafuu kiuchumi anashukuru Ila kumbukeni Ni nyie wenyewe mlipenda 50% so hata katika maisha tubebeni.kikubwa mupendane na isiweyupo kimaslahi binafsi.
Kinachoniuma Ni sisi vijana wazalendo tumesoma na tunasifa za kuwa katika hizo taasisi na tunania ya thati Ila hatupewi nafasi,kila ukijaribu kuhangaikia hupati,au kwa vile sisi tunatoka familia nasikia.
Kama muhusika utasoma hii jumbe nahitaji msaada wako,sifa ninazo na uwezo ninao,nimejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.