ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,726
- 28,281
Ww andika will tu hakuna namna huchomoki!
Mkuu condom huwa aipasuki ukiona imepasuka ujue huna elimu ya kuivaa unajivalia tu,jitahidi upitie kwenye lile box utaona hatua za uvaaji ukizifuata condom haiwezi pasuka.
Condom kupasuka kawaida... Sana..Yaah hata hivo ni kitambo sana
Hio si kweli, miezi 3 imewekwa kama siku za juu kabisa kwa mtu ambae mwili wake unachelewa kutoa antibody, hivi vipimo vya rapid vinaanza kuonyesha 20 days hadi miezi mitatu, ukishapima baada ya miezi mi 3 toka siku ya mgegedo ndipo unakuwa na uhakika...Kipimo cha HIV huwa kinaonyesha kuwa mtu ni positive kama ameambukizwa miezi mitatu nyuma. Kama mtu ameambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma hakiwezi kuonyesha. What if huyo dada yetu aliambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma? Mkuu nakuhakikishia kuwa umepata ngoma!😄😄😄
Uongo mtupu, kwenye rapid za 4th gen hizi combo ndizo zinapima antibody na antigen ambapo within 2 weeks zinagundua kama umeathirika, lakini hiyo ya kwako ya 1 day, mhhh hata PCR haiwezi....Huelewi. Nikusaidie, ukikutana na mtu aliyeambukizwa VVU last week kipimo kitaonyesha negative na wewe ukipima utakuwa negative ila risk ya yeye kukuambukiza ni kubwa sanaaaa kuliko miaka ya mbele pale ambapo virusi vimestablelize. Huyu kunywa PEP ni uhakika zaidi kwa sababu anaondoa risk kabisa ya kupata HIV. Hapa si suala la false negative na positive kwa ubovu wa kipimo ni suala la uwezo wa kipimo kutoa majibu kwa exposure ya muda mfupi.
KUNA VIPIMO VICHACHE SANA AMBAVYO NI GHARAMA VITAKUPA MAJIBU HATA KAMA UMEFANYA MAPENZI JANA UKAAMBUKIZWA
Kwamba kuna tofauti kati ya kirusi cha jualiana na cha sasa hivi?
Kha!kha!,wee jamaa Kwanini unapenda kumhakikishia jambo baya mwenzako??.Kipimo cha HIV huwa kinaonyesha kuwa mtu ni positive kama ameambukizwa miezi mitatu nyuma. Kama mtu ameambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma hakiwezi kuonyesha. What if huyo dada yetu aliambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma? Mkuu nakuhakikishia kuwa umepata ngoma!
Acha uongoBinafsi ningekushauri ungelianza tu dozi ya PEP...
Kuna uwezekano mkubwa mtu mwenye ngoma akapima na akaonekana hana ngoma...
Je, umejiuliza kwa nini umeandikiwa kikaratasi cha tarehe ya kurejelea tena kipimo?
Marakebisho kidogo mkuu!! Kipimo kinauwezo wa kuonyesha baada ya mwezi mmoja tokea kupata maambukizi kwa asilimia 96-99.9Kipimo cha HIV huwa kinaonyesha kuwa mtu ni positive kama ameambukizwa miezi mitatu nyuma. Kama mtu ameambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma hakiwezi kuonyesha. What if huyo dada yetu aliambukizwa miezi miwili au mmoja nyuma? Mkuu nakuhakikishia kuwa umepata ngoma!😄😄😄
Na hawatumii kinga kabisa. Leo anailpigw ana huyu kesho na yuleMalaya hawanaga Ukimwi, Ukimwi uko kwa ma girlfriend na wake sababu hawa huwa wanaaminika hawana kumbe wanatoa kimasihara hatari.
Yaani Ukimwi ni ugonjwa wa ajabu sana. Unakufa kwa mawazo tuKuna siku utaleta ushuhuda hapa kusimulia kuwa ukimwi upo. Mark my words!
Mabaharia wote wanajua hili hata ma barmaid hawanaMalaya hawanaga Ukimwi, Ukimwi uko kwa ma girlfriend na wake sababu hawa huwa wanaaminika hawana kumbe wanatoa kimasihara hatari.
Rest in peace nguvu za kiume.Ni Jana tu niliweka thread ya kuuliza Kama sekunde kumi ukifanya unprotected sex unaweza kuambukizwa HIV. Nilijaribu kuficha kusema kwamba sio Mimi ila kiukweli mimi ndio nilikuwa mhusika Sasa dakika ya mwisho leo asubuhi nikamtafuta huyo mwanamke nikamwelezea kuwa sijapata usingizi siku mbili nahisi umeniambukiza coz story za mtaani zinasema umeungua.
Nikamuomba tukapime kama amenipa Basi nianze dozi ya PPE mapema coz masaa 72 yalikuwa yaishe leo saa mbili usiku, nikamuahidi nampa 10000 akakubali tukaenda wote kituoni. Nashukuru sana nimepona, wote Majibu yetu yanafanana hatuna maambukizi.
Nashauri msiwe mnasikiliza stori za watu ukisikia flani anao, jua sio kweli mpaka utibithishe kwa vipimo mwisho wa siku akanitunuku na show moja ila sirudii tena hiyo. Ndio ilikuwa ya mwisho aisee, hii amri ya sita ni ngumu kuishinda Mungu tusaidie.
View attachment 1686783View attachment 1686784Ukidumbukiza mara moja kwa muathirika unaambukizwa?
Kuna jamaa yangu anaomba mpeni jibu eti alikuwa kalewa Sasa akawa ameenda ku do Na muathirika Ila akawa amevaa condom Sasa katika mechi mdada sijui ndo kazidiwa akaichomoa condom makusudi jamaa kapeleka mashine Kama sekunde tano hivi kashtuka ikabidi a stop akavaa nyingine show ikaendelea Sasa...www.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app