Recent content by cedrick14

  1. C

    Je, malazi, chakula na nguo ni mahitaji muhimu?

    Hello! Leo nimejifikilia baada ya kupitia Magumu katika kipindi cha miezi 3 pasipo kupata mshahara. Tangia Elimu ya msingi Tumekua tukifundishwa mahitaji ya muhimi kwa mwanadamu ni chakula, Nguo na pakulala/Nyumba ( I mean shelter). Lakini wote tunafahamu kwa ulimwengu wa sasa nitapata vipi...
  2. C

    Wacha Nishtakiwe,Nichukiwe hata Nifungwe lakini Hili nalisema Sijali Matokeo yake.Nshachoka.

    Kaka afazari ata ww mmeonana mkasalimiana kakupa dakika 10 hiiiiii nyingi mno Imagine tokea 4m 4 uko ndo tulionana mwaka 2011 Last wk inaingia picha whatsapp kapiga picha kadi ya mchango na jina kashaandika Hakuna cha salamu wala nn
  3. C

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    Nyie welevu si mmetimiziwa ahadi na uyo kikwete bila kudanganywa eti, ila usisahau kanda ya ziwa tumeingizwa mjini kwa ahadi ya meli majuzi apa kidogotu ndugu zetu wafe kwenye kale kamkweche (Mv sengerema)
  4. C

    Lowassa kapita dirishani kwangu

    Atleast ye kashtuka kuliko wale ambao hawana habali kabisaaaa.
  5. C

    Yaliyojiri Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA - Mwanza

    aisee leo police wameanza mapema sana pale pasianc tangia sa nne ni zuiazuia umati kulikua na roadblock pale
  6. C

    CCM yatangaza kurudia majimbo 5 kura za maoni

    Sasa kama Chadema ni makapi asisahau producer wa Makapi ni nani Mwenye raw materials za kutosha kama riz1 Yani kwa msemo wa mzee yusufu ningali sema Ccm kushnei babu jiii......
  7. C

    Western movies zinakotupelekea ni kubaya

    Yaan saiv western movies kuna operation sambaza ushoga .... tena saiv wanaonesha live kabisa angalia series inaitwa Mr. Robot episode ya tatu Niaibuu..
  8. C

    ITV yatumika kumpigia kampeni Lowassa kabla ya muda

    Sasa we ulitaka ENL awafunge miguu wasiende Mafuliko hayazuiliwi kwa mikono... Ccm chaliii....
Back
Top Bottom