Sio hiyo tu matokeo ya uenyekiti kijiji cha migombani ndio tuliwapiga vizuri lakini kwakua walitumia nguvu na mabomu wakapora kura zetu matokeo yalikua kama ifuatavyo (Migombani chini CDM 83 CCM 49, Migombani kati CDM 99 CCM 53, Mlimani Park CDM 73 CCM 70, Migombani Juu CDM 71 CCM 48, Njoro CDM...
Hivi ukiulizwa makengeza na whatsapp vinauhusiano gani unaweza kujibu? Hebu jaribuni kuwa wastaarabu maana sio lazima uchangie mada kama huna cha kusema.
Ninavyojua mimi hazijachomwa moto isipokua imepiga shot ya umeme wakati kibaka anataka kuingia ndani ya ofc, hivyo kilichoungua ni choo na bafu pamoja na bati limetoboka na sio kuchomwa moto.. Please msiwapotoshe watu!!!!!
Nina wasiwasi na akili yako inajaa matope kwakuwa CHADEMA sio chama cha kutoana kafara ni cha kuwatumikia wananchi je nikuulize wewe ambae ni mpuuzi na pungufu wa mawazo utakuwa na raha gani kutumika au kufanya kazi angali mmoja wa familia yako amefariki???? CHADEMA ni chama cha kutetea wanyonge...
Wadau wenzangu kuna swali najiuliza tokea jana na sijapata jibu sahihi pengine mlioko huku mnaweza kunisadia... Hivi intelligence ya Police ni kwa ajili ya mikutano ya CHADEMA NA LEMA au ni kwa ajili ya matukio kama hili lililotokea jana la mabomu??
Nawasilisha......
Kwa maoni yangu Rais wetu wa Jamhuri ya Tanzania Mhe Jakaya Kikwete angeomba msaada kwa Mhe Rais mstaafu Ben Mkapa kwa nia njema tu... Kama mtakumbuka uongozi wa Ben Mkapa kulikuwa na displine ya kutosha hakuna ujinga ujinga wa kudharau serikali na watu wake kama ilivyo sasa... lakini leo hii...
Kwakweli serikali hii inawafanya watu waIchoke bila sababu... sasa RPC unakosa kazi kweli unaamua kuact wewe ni askofu? mbona kuna njia rahisi tu za kumtongoza mwanamke hata kama ni mkali kama simba? RPC anaonekana wazi kabisa amempenda huyu mama na ameshindwa aanzeje na ukizingatia ni mtu...
Ninachojua mimi Mwingulu ni bwabwa maana anaongea vitu asivyovijua.... hivi mwanamme mwenye akili zake timamu anaweza kuongea huu uchafu wa Mwingulu? Nasikitika sana wana Singida kupata huyu k kama mwakilishi wenu. Mtafakari na mchukue hatua. badala aongelee maendeleo ya jimboni kwake anaongea...
Ulieandika hii thread hapa sio mahala pake ingekuwa vizuri zaidi ukawaface moja kwa moja maana hapa unatuma watu wakamweleze Millya na Oleleshwa sisi tunawajulia wapi??? wewe unaowafahamu basi ndio ukawaeleze hapa tunahitaji kujua maendeleo ya nchi hii yanavyokwenda na sio kutuma salamu....
Mimi hapa sioni kosa la CHADEMA wala CUF kwasababu wao sio serikali... CCM wao lazima watoe tamko CHADEMA & CUF wao kama wapinzani ndio waikosoe serikali ila nadhani hapa wa kuikosoa serikali ni CHADEMA peke yake na sio CUF... Tutegemee kuona mengi zaidi ya haya... Rais kimya inaelekea yeye he...
Duh hali ni tete taarifa za kiintelejensia hazikufanya kazi mpaka rpc anauwawa????? Said mwema unakuwaga na taarifa za kiitelejensia kwenye mikutano ya chadema pekee yake????? Sasa huyu Mungu wa sasa hivi sio wa zama za kale u kill people and peolpe will kill police... Machizi ya kina mwangozi...
Dr. Deo alienda police kutoa taarifa usiku ule ule ila jeshi la police halikumpa ushirikiano kama ungesikiliza mahojiano kati ya Dr. Deo kwenye clouds ndio ungejua kwa asilimia 100 police wanahusika...
Yaani kwa mwanamke kama huyu amekosa uhalisia anakuwa kama hajui labour?? angekuwa ni mtoto aliemzaa angesema hayo??? Mungu atamuonyesha mapema true colours zake na sasa tumeanza kuziona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.