Recent content by CdoEngineer

  1. CdoEngineer

    Msaada: Kati ya Bachelor of Accounting and Finance, and Bachelor of Accounting ipi nzuri zaidi?

    Nami naombeni msaada kuhusu "Bachelor of arts in development studies", hasa inadeal na mambo gan,maana dogo kanipiga swali naogopa kumdanganya.shukran!
  2. CdoEngineer

    Naombeni ushauri maana naona haya matatizo yananizidi uwezo

    chagua ushauri mmoja uufuate maana wana jf wamekupa mawazo mengi tu unaweza ukapata nafuu ya matatizo yako
  3. CdoEngineer

    Kusoma ni kuishi

    shukran kwa ushauri
  4. CdoEngineer

    Makosa kwenye kuaply mkopo

    nashkuru ndugu yangu
  5. CdoEngineer

    Makosa kwenye kuaply mkopo

    Shukran mkuu kwa msaada wako.
  6. CdoEngineer

    Makosa kwenye kuaply mkopo

    msaada nimekosea ,nimeandika jina lisilo kamil,badala yake nimeandika jina moja pekee ,yaani mfano mzazi anaitwa SHIDA MATATIZO TABU ,nami nimeandika SHIDA. NINI nifanye ukizngatia nimeshaprint form.
  7. CdoEngineer

    Nchi 8 zenye sheria zinazoshangaza

    duh hatari,je ikitokea umekufa huzikwi au?
  8. CdoEngineer

    US Navy Operation red wing

    Shukrani kwako mwandishi wa Uzi huu
  9. CdoEngineer

    Msaada;Tecno W2 hard reset and gmail account reset

    Wakuu; Nmefanya 'hard reset' kwenye Tecno W2 lakin shida imekuja kwenye 'gmail account verification' kwani 'previous gmail account' iliyokuwa signed in ni ya muda mrefu hvyo details zake nimezisahau.Naombeni msaa juu ya nini nifanye ili kufanikisha. Nawasilisha
  10. CdoEngineer

    Hii ndio operation red wing 28.05.2005

    Nahisi siku yao ya kufa ilishafika,yani hawakuwaza kama wenzao wana kombora....dah pole kwao marehemu
Back
Top Bottom