Imagine kuwa umekwenda mitaa flan kutembea,suddenly unakutana na your lover(ww ni mvulana)ukamsalimia,kama kawaida ukambusu kwenye lips,wakati unambusu kumbe dadako wewe alikuwa anapita,dadako akatabasamu kwa kukuona unamkiss wifie(japo hujamtambulisha).Sasa ww ulivyoona dada katabasamu...