kwa uzoefu wangu huyo msichana atakuwa ametoa mimba hivi karibuni, na hiyo ishu ya kudai ana mimba kibongo bongo hakuna mwanamke anayeweza akajua ana mimba katika siku kumi...ZINDUKA WEWE KAMA UMELALA..
huyo jamaa anadai alikutana kimwili siku ya kumi baada ya bleed,baada ya muda huyo mdada hakuona cku zake so inawezekana kweli?.mi bado cjajua ujue linataka kufanana na langu