Recent content by cdeking

  1. cdeking

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Nyamwage, nyaminywili,-Rufiji
  2. cdeking

    Hadithi ya kusisimua: Vita ya wachawi

    Hapohapo ndipo inavyokwenda.
  3. cdeking

    Hadithi ya kusisimua: Vita ya wachawi

    Jamani hizi hadithi zinapatikana katika global publisher, yeyote anayetaka muendelezo wa hadithi hii na nyingine na aingie katika Google
  4. cdeking

    Hadithi ya kusisimua: Vita ya wachawi

    VITA YA WACHAWI-30 by-GLOBAL 10 hours ago ILIPOISHIA: Mganga hakutaka maiti ilale kwani ingemletea picha mbaya kwa wateja wengine, ilibidi kaburi lichimbwe usiku uleule na watu watatu kwa kupokezana mganga msaidizi wake na Amangise mwenyewe kwa vile wagonjwa waliokuwepo walikuwa wanawake...
  5. cdeking

    Nyerere kutangazwa kuwa mtakatifu

    na wewe ni kiazi kweli kama mtu ameshaamua kutoa tafsiri tayari kwanini nimpe tafsiri ya kwangu.mwache mjinga aendelee kukaa na ujinga wake Kungekuwepo na PhD ya matusi we mmaranguoriginal ungestahili kuwa nazo hata zaidi ya tatu
  6. cdeking

    Nyerere kutangazwa kuwa mtakatifu

    Matusi sio suluhisho na wala sio sulisho la kuweka wazi kitu ambacho unaona kimekosewa. Ikiwa unaona mtu amekosea unachotakiwa kufanya ni kumrekebisha mfano kama wewe mmaranguoriginal ulipaswa kutoa tafsiri ya hiyo aya aIizozileta kahtaan kutoka katika biblia nazo ni Kumbukumbu ya torati 25:11...
  7. cdeking

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Tunazugwa tuu hapo. Kuna dini inafuatwa ila kinachofanyika ni siri.
  8. cdeking

    Mtei: Akiba ya Zanzibar ile kutoka EACB ilijenga ofisi zao

    Hebu pitia maneno yake kisha yachuje kwa akili iliyopevuka, si mafumbo ni uwazi alichosema usilete unazi wa simba na yangu
  9. cdeking

    Prof. Benno Ndulu, nasikitikia ukwapuaji wa kiasi cha shilingi bilioni 200 kutoka Benki Kuu ya Tanzania(BoT)

    Huu ukwapuaji wa fedha umetokea lini na huyu Prof. Benno ndulu alikiri kwa kufanya hivyo wapi na lini. Je serikali mpaka sasa inalizungumziaje suala hili?
  10. cdeking

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    Allah aikubalie dua yako. Allah ampe yeye pamoja nasi mwisho mema. Aamin
Back
Top Bottom