Hili suala lilinitokea pia. Nilikuwa kimara. Ile nimeshuka nimeenda dukani wakafika kwenye gari wakamkuta wife afu gari sijazima. Wakataka kunitoza fine finally hawakuambulia chochote zaidi ya kupoteza muda kwa sound nilizowapiga
Mkoa wa Dsm kwa upande wa miundombinu ya barabara especially za mitaa ni very poor, yani fungu la kutosha linatakiwa kutengeneza na kurekebisha hizi barabara.
Umenifurahisha!! Kuna boss wangu wa kike anapenda sana kusifiwa sasa mimi nilikuwa sijausoma mchezo, siku moja alikuwa kapendeza kweli kweli basi nikamsifia Boss umependeza!!akasema "na wewe Leo umenisifia?akashangaa kweli" basi kutoka siku hiyo nikaanza kufuatilia watu wanavyomsifia, I came to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.