Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,869
- 29,031
Poleni saana kwa kudanganywa na uyo msanii ambae anajua uraisi ni kuwapa kazi makada walioshindwa kura za maoni, kujenga madaraja na kununua ndege tu
Serikali ya Magufuli inatoa rushwa ya ajira kwa vijana ikitegemea itapata kura zetu, waambieni hata mkitupa ajira kura hatuwapigiii ng'oooooooooWizara ya Tamisemi imetoa taarifa kuwa kuanzia jumatatu ya tarehe 7 wahitimu wa fani ya ualimu waanze kuomba kazi.
Kulingana na idadi ya wahitimu inayohitajika ni dhahiri wengi watakuwa walimu wa masomo ya sayansi na wale wa shule za msingi.
Kuliko kuwasumbua vijana wote kuhangaika kutuma maombi na kutumia gharama kubwa, ni wakati sasa serikali iweke walimu na masomo yanayohitajika ili wale wasio husika wasisumbuke bure kutumia gharama kutuma maombi kumbe hawapo kwenye mpango wa kuajiriwa na serikali.
Itakuwa dhambi kubwa sana kuwaacha vijana kutuma maombi wakati serikali haina uhitaji wa masomo fulani.
TAMISEMI ndio mambo yoteKwani ni wizara ya elimu inayofanya interview za kazi?
Hapo sidhani kama kuna interview, vigezo vitakuwa vitatu.Kwani ni wizara ya elimu inayofanya interview za kazi?
Mungu atasikia kilio chake asichoke ku applyNilimuonea huruma jamaa yangu flani mwaka juzi waliposema watu wa-apply yeye anaishi kilometa 210 kutoka kijijini hadi mtandao ulipo mjini nauli elfu12 siku ya kwanza mtandao ukagoma hana hela ya kula,sehemu ya kulala hana nikamkaribisha,home siku tatu nzima no mtandao akarudi kwao.Baada ya siku mbili kanipigia cm nimuazime nauli aje me sina akauza shamba ekari moja kwa sh elfu 80 kapoteza shamba la kulima,muda na ajira hakupata leo wamesema waanze upya namsikitikia sijui atakuja tena.
Kiongozi wa wanyonge hakuona tatizo la ajira kuanzia 2015 mpk sasa 2020 sio?
Wanyonge bana.



hilo neno wanyonge linanikera kinoma