Recent content by CCM JUU

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kufunguliwa kwa ubalozi wa Tanzania nchini Israeli ni mwanzo wa kupaa kwa Tanzania kiuchumi

    Kwa zaidi ya miaka 48 (1967 -2015) tangu uhuru wake Tanzania imekuwa na maisha yasiyoeleweka kiuchumi pamoja na kuwa na vitu vingi na maliasili nyingi ambazo zingeweza kuipaisha nchi hii kiuchumi mara moja, na sasa ingekuwa miongoni mwa nchi chache zilizofanikiwa sana kiuchumi. Tanzania...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo kidogo na mnyama twiga

    Lakini pia naomba jiulize inahitajika simba wangapi ili kumuua twiga mmoja????
  3. C

    JamiiForums Tanzania Mambo mengi yanayofanywa na wanasiasa ni kwa manufaa yao binafsi na si kwa lengo la kusaidia wanyonge

    muda wote huwezi fanya siasa mkuu...kuna mambo mengine ya muhimu pia zaidi ya siasa....siasa siyo kila kitu
  4. C

    JamiiForums Tanzania Mambo mengi yanayofanywa na wanasiasa ni kwa manufaa yao binafsi na si kwa lengo la kusaidia wanyonge

    umekosea sana mkuu.....sikuwa na maana hiyo kabisa
  5. C

    JamiiForums Tanzania Mambo mengi yanayofanywa na wanasiasa ni kwa manufaa yao binafsi na si kwa lengo la kusaidia wanyonge

    Bujibuji mbona sijakuelewa mkuu, kwani kunileta huku???...tatizo ni avatar au?
  6. C

    JamiiForums Tanzania Sabuni ya jamaa na Tanzania ya viwanda

    Sabuni ya jamaa inayotengenezwa nchini Kenya imekuwa ikifanya vizuri sana kwenye soko hapa Tanzania kwa miaka mingi sasa, kiasi ambacho imezifunika sabuni nyingi sana za kufulia hapa nchini. Swali langu ambalo nataka kuwauliza wadau, je, ni kweli watanzania wameshindwa kabisa kuanzisha viwanda...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

    cha ajabu ni kuwa mkoa wao wa Kagera ndio mkoa maskini zaidi hapa Tanzania!!!!!fanyia na hili utafiti uje utujuze kwa nini ma prof wawe maskini
  8. C

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Doctor of Medicine Vs Bachelor of Pharmacy

    Pharmacy ni course nzuri lakini tatizo ni upungufu wa viwanda vya kutengeneza dawa, wengi huishia kugawa dawa hospitalini...Doctor of Medicine status kubwa lakini maisha yao wengi huwa ya kawaida tu kutokana na muda mwingi kubanwa na kazi..
  9. C

    JamiiForums Tanzania Je, kwa Wakristo yawezekana kumbatiza mtoto ambaye amezaliwa pasipo wazazi kufunga ndoa?

    watoto wadogo hawabatizwi, soma biblia yote mwanzo mwisho utaona!!!!! unafikiri Mariam alikua mjinga asimbatize Yesu akiwa mtoto??? hii sio biblia mkuu....Jibu swali moja tu direct....unafikiri kwa nini Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima?
  10. C

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya KCMC yakumbwa na tuhuma nzito za ufisadi wa mabilioni ya fedha

    mambo mengine sina uhakika nayo, lakini hilo la wamama kulala chini na kulala wawili wawili si la kweli hata kidogo...umeongeza chumvi...wodi hiyo tunaifahamu vizuri
  11. C

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa ndege Dar(JNIA): Almasi yenye thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 64 yataifishwa

    unafikiri hana ulinzi??
  12. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania has become a hotbed of Kagame spies under Magufuli watch: Who is Mike Rwalinda and Hotel Kagame in Dar?

    Israeli haina tabia ya kuua raia wake yenyewe hata kama raia huyo ana mtizamo tofauti na utawala uliopo....
  13. C

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akutana na viongozi wakuu na wastaafu wa vyombo vya ulinzi na usalama

    kama Israel vile....hakuna mtu kustaafu...ukihitajika wakati wowote unaibuka kwa maslahi ya taifa.. Nakupa kongole sana my presdaaa
  14. C

    JamiiForums Tanzania Tanzania has become a hotbed of Kagame spies under Magufuli watch: Who is Mike Rwalinda and Hotel Kagame in Dar?

    Hii kitu wala hukuwa na haja ya kuisema, wewe ungewaacha waendelee kujisifu tu...sisi si watu wa kuongea sana ni watu wa vitendo tu
Back
Top Bottom