Mpaka unatetemeka umeshakuwa mtumwa wa pombe. Ni dalili mbaya ( alcoholik[emoji481]) fanya mazoezi na tafuta kitu mbadala unaposikia hamu ya pombe. Jiepushae kukaa na group la wanywaji, kuwa busy kidogo. Pendelea kunywa vitu vitamu.
Wasisemwe wa mikoani tuu hata Dar. Ila hata wanawake wananuka vikwapa kama kitunguu swaum. Deo za bei rahisi zipo kibaao. Tena roll on ya dove ni nzuri sana na ni rahisi. Unapishana na mwaume Dar jua kali kavaa tai na jacket, smart, vuta pumzi duuu. Hata wadada. Hii hali ipo kotekote. Kwingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.