Recent content by cax jerry

  1. cax jerry

    Rais Magufuli acha kutembelea nchi masikini hazitakusaidia chochote

    Mzee hakusafiri mkamsema leo kasafiri mnamsema tena ziara hazina tija nchi maskini.. nchi tajiri ingenunua hayo mahindi tani 700000? China has become a super power after investing to poor people who are the one with needs not demand Zimbabwe has international barriers and restriction .. JPM...
  2. cax jerry

    Mliooa wanawake walokole piteni hapa tupeane uzoefu

    Aisee wanawake walokole ni wazuri sana maana wengi walisha fanya dhambi sana ndio mana wakaokoka .. wanaanza maisha upya.. yaani wakitulia na msela wanatulia haswa maana wamesha pitia mapigo yote.. ttz la walokole wengi ni wachakavu huwezi kuta ngoma mbichi lazima kilometa ziwe zimesoma mzee
  3. cax jerry

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Bado hajafnikiwa kabisa kwa sasa kwamaana yy anasema trh 26 ndio kazi.. sa hii anashawishi na watu wakijitokeza barabarani ndio tutasema kafanikiwa... watu wasipo andamana basi takua kafeli.. ila kwa sasa bado ni bilabila.. hata kwa sasa hawezzi wekwa hatiani maana tarehe bado
  4. cax jerry

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    Pole binti.. ushakua chama la wana Sikuizi tabia za wanaume zimebadilika sana kati ya hao saba lazima kuna kichaa mmoja alichimba CHOO.. Hawezekani wote hao wale wali maharagwe... lazima kuna mtu alikula nyama hapo .. Tulia dada ujizalie katoto thn uanze tafuta child support . Hapo ndio...
  5. cax jerry

    Ushauri: Nachoka kabisa, nikianzisha mahusiano na mwananume mwingine bado nakuwa nae

    We ni malaya mla vichwa... hao unao wala vichwa ndio ilikua wakuoe bt hao unao wataka wana kukula kichwa wasepe Acha umalaya utaolewa
  6. cax jerry

    Visa vya wanawake katika mahusiano

    Hapo kuna UMAMA flani hivi nimeuona.. Mbn zipo njia kibao za kupunguza hasira kwa ishu km hiyo.. ( wazee wa plan b ndio wanaelewa)
  7. cax jerry

    Wazazi hawataki nioe Mchaga

    Ebu tafuta sababu kwanini mzee mengi aliachana na mkewe mercy akaenda oa klyn, ya wachaga yalimfika akawahi mapema Ndoa inaunganisha familia mbili na huleta faraja kwamba wazazi wanataka kuona matunda ya mtoto wao hapo badae na sio kilio hapo badae.. Kwa sasa utamia lakini badae utakua kwenye...
  8. cax jerry

    Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

    Braza oa huyo huyo... cz atakuheshimu na kukujali.. wasomi ni headache atakupanda kichwani.. thn mpeleke QT.. moyo hauna elimu best
  9. cax jerry

    Wanawake wa Kimarangu ni hatari

    Wachanga wote watoto wa mama mmoja
Back
Top Bottom