Znz ni nchi nyingine hizo siasa za muungano wanazo viongoz tu wanaofaidi matunda ya muungano vinginevyo utakuwa unajipotezea tym yk.then hao Wa znz wlio bar ni sehemu tu y privileges ili kudumisha Union. Huna SBB y kulaumu kwa kuwa we si mznz.
Huyo magufuli wako ndio hawezi kuiba!eti mti wa matunda?matunda gani hata hizo roads anazosimimia ziko under standard. Ongeza na kashfa ya uuzwaji wa nyumba za umma napo ilikuwa wakati wa campaign.
Nashangaa mijitu mingine inashabikia wizi.nadhani hakuna mkamilifu msimchukulie magufuli kama malaika asiyetenda kosa.Eti asubir data!labda za wizi atazitoa na barabara za kiwango cha chini would be valid.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.