Recent content by cauth

  1. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Idara ya elimu sekondari njoo tunduru nije DSM wilay yyte 0683568055
  2. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo tunduru nije DSM 0682020918 tuwasiliane
  3. C

    Zitto jibu hili tafadhali

    Mbona cdm hawajathubut
  4. C

    Onyo kwa vijana wa ACT Tanzania

    Mbona slaa hadi sasa ni chichi M
  5. C

    Mapaja ya wanawake yanaanza kupoteza ladha siku hizi

    Na ndio maana uislam ulishaona umuhim Wa hafidhu kwa wanamama.
  6. C

    Nilikosa nafasi ya Jeshi Z'bar kwa udini, Nishasamehe

    Ukiwa znz hata mbara hata uwe muislam kupata kazi ya govt ni ngumu mno
  7. C

    Nilikosa nafasi ya Jeshi Z'bar kwa udini, Nishasamehe

    Znz ni nchi nyingine hizo siasa za muungano wanazo viongoz tu wanaofaidi matunda ya muungano vinginevyo utakuwa unajipotezea tym yk.then hao Wa znz wlio bar ni sehemu tu y privileges ili kudumisha Union. Huna SBB y kulaumu kwa kuwa we si mznz.
  8. C

    Nyaraka muhimu za skendo ya Wizara ya Ujenzi

    Huyo magufuli wako ndio hawezi kuiba!eti mti wa matunda?matunda gani hata hizo roads anazosimimia ziko under standard. Ongeza na kashfa ya uuzwaji wa nyumba za umma napo ilikuwa wakati wa campaign.
  9. C

    Wapinzani, Hoja ya mishahara na posho za wabunge haijadiliki?

    Wanazi wa chama nahisi hawajaingia hapa.
  10. C

    CRDB bank inafilisika?

    Nmb ndio majanga tupu
  11. C

    CAG: Magufuli na Mwakyembe wawajibishwe

    Nashangaa mijitu mingine inashabikia wizi.nadhani hakuna mkamilifu msimchukulie magufuli kama malaika asiyetenda kosa.Eti asubir data!labda za wizi atazitoa na barabara za kiwango cha chini would be valid.
Back
Top Bottom