Kampuni ya Saruji ya Dangote ni miongoni mwa kampuni kadhaa zilizopewa siku 30 na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kulipia ushuru wa forodha mizigo yao kabla mizigo hiyo haijapigwa mnada.
Agizo hilo lilitolewa na TRA kupitia tangazo lililotoka Septemba 9,2019 katika Gazeti la Daily News ambalo...
Kwa mujibu wa Kifungu 201A cha Sheria za Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya), Sura 287 na Kifungu cha 87A cha Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) Sura 288 zikisomwa pamoja na Kanuni ya 3 na 6(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya Vijiji...
Dar es salaam. Wafanyabiashara watano na dereva mmoja, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam Tanzania wakikabiliwa na shtaka moja la usafirishaji wa bangi.
Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo Alhamis Septemba 4, 2019 na kusomewa shtaka hilo na wakili wa...
Watoto wawili wa familia moja wakazi wa msamala mkoani ruvuma wamefariki dunia kwa kukosa hewa kutokana na jiko la mkaa lililowashwa katika chumba cha flemu ya duka walimokuwemo huku mama yao aitwaye BEATRICE MPAGIKE akilazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa ruvuma.
Kamanda wa polisi wa...
Rais wa Italia Sergio Mattarella amempa Waziri Mkuu Giuseppe Conte agizo la kuunda serikali mpya Alhamisi, kufuatia mpango wa kuepusha uchaguzi wa mapema.
Uamuzi huo umetolewa na Mattarella baada ya vyama viwili vya kisiasa nchini Italia, kile Nyota Tano na cha Democratic, kukubaliana kuunda...
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania ipo mbioni kuanza kuwachukulia hatua wanaosambaza katika mitandao ya kijamii taarifa za uongo kuhusu madhara anayoweza kuyapata mtu iwapo atatumia aina fulani ya dawa.
Kauli hiyo imetolewa leo Alhamisi Agosti 29, 2019 na naibu Waziri wa Afya, Dk Faustine...
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia dereva Francis Deogratias (30) mkazi wa Mwananyamala Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kusafirisha bhangi magunia tisa kila moja likiwa na uzito wa kilo 50.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Kibaha kamanda wa polisi mkoani humo...
Uganda imeachana na mradi wa kujenga bwawa la kufua umeme katika maporomoko ya maji ya Marchison. Mradi huo ulikuwa ukikosolewa sana na walinzi wa mazingira na wadau kadhaa wa sekta ya utalii.
Serikali ya Uganda inaashiria mradi huo wa umeme wenye uwezo wa kutoa megawatt 360 "ungechafua...
JESHI la polisi mkoani Pwani, linamshikilia Dismas Silyvester (35) kwa kosa la kumbaka mtoto mdogo mwenye miaka mitatu, huko Mlandizi A ,kata ya Mlandizi ,Kibaha .
Aidha Mariam Shomari (25) mkazi wa Msongola ,Mlandizi Kibaha ameibiwa mtoto wake mchanga wa miezi mitatu katika mazingira ya...
Mfanyabiashara kutoka Kaunti ya Kiambu amelalamikia kitendo cha Mchungaji kumchukua Mke wake aliyezaa naye Watoto watano
Aidha, bwana John Kanyua ameeleza kuwa mpaka sasa haamini imekuwaje Mchungaji aliyewafungisha ndoa amgeuke na kumharibia ndoa yake
Anasema kuwa yawezakana alipigwa upofu...
Chukua maziwa ya mgando na utumie kusafisha uso wako kisha scrub kwa kutumia mchanganyiko wa mlozi na karoti au mlozi wa jani la chai.
Baada ya hapo fanya toning na maji vuguvugu yaliyochanganywa na kipande cha limao na weak kidogo katika taulo la pamba na futa uso wako mahali pote kasoro penye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.