Recent content by Casuist

  1. C

    Msaada: Nimeuza nyumba, niliyemuuzia hataki kunimalizia fedha yangu mwezi wa nne huu, nikiuza tena kuna kosa?

    Mkuu ngaiwoye, nilishawahi kukaa kwenye shauri la ardhi, lilianza kama masihara lakini ilikula miaka 6.. nilijipambania mwaka wa kwanza nikaona muda unapotea kwenda kushinda kwenye cordor za mabaraza.. nikaweka wakili miaka mitano, ni hela inatembea.. Ngoma nilienda kushindia mahakama kuu na...
  2. C

    KERO Nini kinaendelea kati ya NHIF na hospital ya tiba healthcare -Upanga? Inadaiwa huduma kwa wenye kadi za NHIF zimeachwa kutolewa ghafla

    La Aga Khan nawaunga mkono NHIF, watatukaushia mfuko.. NHIF wanahitaji kuimarisha mifumo yao kupunguza ubadhirifu badala kuzuia hospitali..
  3. C

    Ni kwanini wilaya ya Kigamboni maendeleo yapo taratibu sana?

    Huu mpango bado unaendelea? Na huko walipoanza walilipaje mkuu!
  4. C

    Askofu Bagonza: Ujinga ni mtaji

    Bora tuendelee kuwepo watu wanufaike;);)
  5. C

    Serikali inatafuta muwekezaji wa kukifufua kiwanda cha matairi cha General Tyre, atakikodisha kwa miaka 33

    Naona Serikali imejaribu kukifufua kwa miaka zaidi ya 10 bila mafanikio..
  6. C

    Uvinza: Halmashauri yachukua hatua kupitia video iliyosambaa lakini yashangazwa na aliyechukua video ikidai ameleta taharuki

    Kuna zile sanduku za maoni zipo mahospitalini zimejaa vumbi na hazina dalili ya kufunguliwa kwenye baadhi ya zahanati. Kwa ujumla angefata mifumo ya serikalini hilo jambo lisingeleta impact ya uwajibikaji kama njia aliyotumia..
  7. C

    Serikali kuondoa udhibiti wa sukari kutoka nje kisheria. Bashe adai anaenda kuwatikisa 'Big Boys'

    Chain ya sukari imebeba watu wengi ikiwemo wasio na makosa. Bashe hawezi kuharibu maisha yao kisa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao wa kudhibiti bei. Anajigamba kabisa mwaka mmoja mashamba yote yatakufa, hamna mtu hapo..
  8. C

    PreGE2025 Leo nimemkumbuka Nape wa 2015. Alidai CHADEMA wanataka kupeleka marehemu Ikulu na kumuacha mzima

    Nape ana kauli chafu kama vile mtu mwenye uhakika wa kesho yake haitakaa ibadilike milele
  9. C

    KERO Barabara ya Banana - Kitunda ni kero kubwa kama vile hatuna viongozi wanaotusimamia

    Zamani Barabara hiyo ilikuwa na lami kutokea barabara ya Pugu road Banana mpaka Kitunda, baada ya kuharibika sana na kutengeneza mashimo makubwa waliamua kuikwangua sehemu kubwa lakini zipo sehemu chache bado zina lami..
Back
Top Bottom