Mkuu ngaiwoye, nilishawahi kukaa kwenye shauri la ardhi, lilianza kama masihara lakini ilikula miaka 6.. nilijipambania mwaka wa kwanza nikaona muda unapotea kwenda kushinda kwenye cordor za mabaraza.. nikaweka wakili miaka mitano, ni hela inatembea..
Ngoma nilienda kushindia mahakama kuu na...
Kuna zile sanduku za maoni zipo mahospitalini zimejaa vumbi na hazina dalili ya kufunguliwa kwenye baadhi ya zahanati.
Kwa ujumla angefata mifumo ya serikalini hilo jambo lisingeleta impact ya uwajibikaji kama njia aliyotumia..
Chain ya sukari imebeba watu wengi ikiwemo wasio na makosa. Bashe hawezi kuharibu maisha yao kisa Serikali kushindwa kutimiza wajibu wao wa kudhibiti bei. Anajigamba kabisa mwaka mmoja mashamba yote yatakufa, hamna mtu hapo..
Zamani Barabara hiyo ilikuwa na lami kutokea barabara ya Pugu road Banana mpaka Kitunda, baada ya kuharibika sana na kutengeneza mashimo makubwa waliamua kuikwangua sehemu kubwa lakini zipo sehemu chache bado zina lami..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.